Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana hajapata barua yoyote ya onyo au tuhuma zozote ndani ya utumishi wake!
guys hakna principles of natural justice ktk procedural stages eg.km kna uchunguz unafanyka na km kujua kwako allegation ktatia doa uchunguzi, narud on the other side km unahc umeonewa nenda labour ofc au mediation n' arbitration sio mahakaman direct mana labour cases zmetengwa.tafuta lawyer, ila awe lawyer mzuri na wewe uwe na kitita kizuri cha pesa..utampa nyingi na mwishoni yeye atashinda kesi kwaajili yako nawe zitarudi..ukitafuta lawyer uchwara atakuzunguka chenga ya kisigino, anakula kote kota, kwako anakula na kwa adversary wako anakula...hapo sasa...bongo hii..