Mtuhumiwa Rodrick Wilbroad Shio

Kuna kitu kinanitatiza kuhusu huyu jamaa...ana mwezi wa pili huu wanamtangaza mfululizo kwenye magazeti karibia yote hapa nchini....Guardian,Daily news,Mwananchi....na mengineyo,Je ni nani huyu?
Ameiba nini?,...manake naangalia gharama za kutangaza mtuhumiwa si chini ya shilingi laki nne za kitanzania kila siku..wadau kuna mtu anamtambua mtu huyu?

jamaa alikua mtu wa accounts wa eatv..kalamba mkwanja mrefu kasepa!!
 
aisee Mzee mengi atahakikisha kila mtu anamjua huyu jamaa..by the way huwezi kumuibia media mogul ukabaki safe....

Mengi ni owner lakini hajawahi chukua faida za "Ipp Media" toka zianzishwe ye ana ingiza pesa kwa biashara nyingine ikiwemo viwanda Najua ulikua hujui hilo!!!..swala la msingi ni kwanini aliiba? mwizi lazima ashughulikiwe
 
Mengi ni owner lakini hajawahi chukua faida za "Ipp Media" toka zianzishwe ye ana ingiza pesa kwa biashara nyingine ikiwemo viwanda Najua ulikua hujui hilo!!!..swala la msingi ni kwanini aliiba? mwizi lazima ashughulikiwe
Nashkuru kwa taarifa sina uzoefu au ujuzi wowote kuhusu taasisi za huyu mzee lakini naona kama ni kitu ambacho hakiwezekani
 
rejea historia nyuma mauaji ya kombe yalitangazwa pia redioni kwamba mtuhumiwa hupendelea kuendesha gari aina ya nissan patrol kilichotokea ajabu tupu ,tangazo hilo lifuatiliwe kwa karibu .
 
Kujua kiasi alichoiba ni rahisi. Sasa kusanya magazeti yote yaliyomchapisha na nenda kawaulize wenye magazeti gharama ya tangazo. Ukishapata zidisha kwa siku zilizotangazwa, ukipata jibu hiyo ni asilimia 1 ya kiasi alichoiba. Hapo fanya cross multiplication kisha utajua.

Sihitaji kujua zaidi, kama umefurahia msaada wangu okay, namalizia supu unajua tena jana Ijumaa night niliifanya mambo.

We' Kazikubwa wewe jana ulifanya mambo gani? ................. any way sitaki kujua zaidi!
 
Aaaah ha ha ha, kweli safari ni safari, hivi?... samahani lakini, hizi safari zako ni zile za kumuvu from point A to point B au zile za TBL? ...samahani lakini.
YT4-1463698.jpg
 
Huyo mshikaji kama namfahamu, jina sio geni kwa watu waliosoma Moshi mjini mwaka 2004 au 2005...
 
wakati naandika hii post nilitaka kwa makusudi niandike hilo jina la kati kwa kifupi...hofu yangu kuu ilikua ww zomba nikasema hebu niangalie kama instinct zangu ziko sahihi....aisee we ni noma
Mmenikumbusha mbali sana na hii kitu: Jina la kati "ku -ring a bell" na "hofu ya mwandishi kuandika hilo jina la kati in full". A fear, which inadvertently turned out to be true. Hii ndiyo JF-a heterogeneous population of benevolent and wacky misfits . Lesson. TII hisia zako.!!!
 
Mbona hilo jina la kati lina "ring a bell".

Nikifikiriaga "Shombo" za bwAna Zomba nachokaaa Kabisa....Imaginary ka Mtu flani Kanene Kafupi..kana Swing na office chair alldaylong..hana cha kupoteza. Ha ha

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom