Simbamwene
JF-Expert Member
- Jun 22, 2008
- 286
- 58
Just curious, katika hii kesi polisi wanapeleleza nini ambacho hakijakamilika?
Inasikitisha sana Polisi mdogo huyo kutolewa kafara, ili kupunguza hasira ya Watanzania kwa uongozi wa Jeshi la Polisi, Kiutawala hamna askari mbaya, awe amevuta bangi, amebaka au ameua, ila kuna Kamanda mbovu asiyejua uwajibu wake wa kiutawala, uamrishaji (Rules of Engagement) hivyo kushindwa kusimamia nidhamu na utawala wa Askari walio chini yake. Hapa tusipigwe changa la macho lazima Makamanda wa Ngazi za Juu wa Jeshi la Polisi Wawajibike?