Mtuhumiwa kwenye orodha ya Ocampo 6 apoteza US $ 10 millions Uwanja wa Ndege

mfianchi

Platinum Member
Jul 1, 2009
11,855
8,253
Kigogo mmoja wa tuhuma za mauaji katika orodha ya Ocampo 6 amepoteza mkwanja wa dola za kimarekani milioni 10 taslimu ambayo ni sawa na Ksh 840 milioni na pia ni sawa na hela yetu ya madafu Tsh bilioni 15,120,000,000.00 alipokuwa anarejea kutoka Hague uholanzi,hizo fweza alikuwa nazo kwenye mfuko wake na alishuka nao uwanja wa ndege lakini akausaha lounge ya VIP akiwakimbiliwa wapambe wake waliokuja kumlaki hiyo siku ya Jumatatu waliporudi,waliorudi hiyo Jumatatu walikuwa ni Uhuru Kenyata,Ruto na Sang.
Nafikiri mpaka hapo msomaji utakuwa umeshajua ni nani mwenye hizo fwedha ,kwake huyo jamaa hiyo ni hela ya kununua mboga sokoni.Inasemekana alibeba dolali hizo hadi Hague kwa ajili ya kujiwekea bond iwapo angeaambiwa aweke bond,cha kushangaza ilikuwaje apite na maburungutu yote hayo hapo Hague kwenda na kurudi,kwa uwanja wa Jomo Kenyata hilo linawezekana kwani jamaa ndio kati ya wenye nchi na haguswi kwa lolote hapo Kenya,pia inashangaza kwa mtu msomi kubeba hela taslimu katika ulimwengu wa siku hizi,au hizo pesa ziliombewa Bagamoyo,hata basi angeshindwa kutumia benki basi angetumia M-Pesa,
du acha bana mitu hii ina fweza,na jamaa wala hajatikisika ,akaenda viwanja vya Uhuru kujumuika na wapambe wake bila kuonyesha hisia zozote za kupoteza fwedha.
 
Ukisikia RADIO MBAO ndio hii,kwanza kiasi kikubwa cha pesa kama hicho hakiwezi kukaa mfukoni kama ulivyo sema,....au ni mfuko upi ndio unamaanisha????
 
Source? Mkuu sidannganyiki hapo! mimi mwenyewe nikiwa na Laptop yangu kwenye basi hata wakati wa kuchimba Dawa huwa nashuka nayo!! iweje mtu asahau $10m Airport. Hii habari siwezi kuikubali hata unishikie bastola
 
Ukisikia RADIO MBAO ndio hii,kwanza kiasi kikubwa cha pesa kama hicho hakiwezi kukaa mfukoni kama ulivyo sema,....au ni mfuko upi ndio unamaanisha????
Tatizo la wabongo bana mumezoea kusoma magazeti ya udaku tu ya akina Shigongo,kwa habari zaidi soma gazeti la The Standard la Kenya la leo,kama hutaki kujua ukweli shauri yako kaka
 
Source? Mkuu sidannganyiki hapo! mimi mwenyewe nikiwa na Laptop yangu kwenye basi hata wakati wa kuchimba Dawa huwa nashuka nayo!! iweje mtu asahau $10m Airport. Hii habari siwezi kuikubali hata unishikie bastola
Soma gazeti la leo la The Standard la Kenya,kama unataka site ya hilo gazeti google kwa maana najua utakuwa unajua mambo ya kutafuta habari kwenye mtandao,nafikiri ukisoma ndio utajua kama ni porojo au ni kweli
 
Huyo atakuwa ni Uhuru Kenyata tu. Mzee Jomo Kenyattta alijitwalia raslimali nyingi sana za wakenya ambazo sasa hivi ziko chini ya wanafamilia wake. Inasemekana kuwa ardhi inayomilikiwa na wana familia wa Kenyatta ukiiunganisha kwa pamoja kuanzia Pwani hadi Rift valley na Central province inakaribia na ukubwa wa Jamhuri ya Burundi. Lakini kuna wananchi wanaoishi kwenye umaskini uliotopea kwenye vitongoji vya Kibera na mathare ambao pato lao kwa siku ni chini ya Sh 500 ya Tanzania.
 
dah! kazi kwelikweli... neways lbada ni za kwake.. sio kila mwenye mafweza ni fisadi
 
hakuna mtu mwenye $10 b za kutembea nazo kenya nzima! Hiyo ni habari ya kupakana matope tu! Ni sawa na ile sumaye ana trilion 7 abroad kumbe hana hata cent huko! Siasa za maji taka
 
Naangalia KTN Now .. nikweli taarifa iliandikwa the gazeti hilo mdau alilosema.. but wanasema habari si ya kweli na wanaomba radhi..
 
Yah,hii habari nimeisoma jamaa, alienda nazo incase kama alitakiwa kulipa bail...yani begi alisahau airport vip reception akaja kukumbuka 10 hrs later..tha dude is rich..sh billion 10 unaweza kuzisahau?
 
Tatizo la wabongo bana mumezoea kusoma magazeti ya udaku tu ya akina Shigongo,kwa habari zaidi soma gazeti la The Standard la Kenya la leo,kama hutaki kujua ukweli shauri yako kaka

Acha kukurupuka wewe! Hicho kiasi mbona kikubwa sana mkuu? Kwani kuweka Bond ni lazima iwe fedha taslimu jamani naomba msaada wenu wajuzi wa haya mambo!

Kwa mtu kama Uhuru siyo rahisi kutembea na kiasi kikubwa hivyo cha fedha maana ni mtu msomi hivyo kwa akili ya kawaida tu huwezi kufikiria hivyo. Labda kama mleta thread umechanganya taarifa pengine ni dola milioni 1. ambayo kwa Kenya ni fedha kidogo tu unaweza weka hata kweney mfuko wa shati.
 
Police are investigating the reported loss of hand luggage containing about Sh840 million in hard cash.

The luggage was being carried by one of The Hague suspects at the Jomo Kenyatta International Airport. The police were told the bag had US$10 million in $100 bills. The bills had been tied in bundles and stuffed in the black bag he was seen carrying when he alighted from the plane. "He had it when he came, only his bodyguards have recorded statements.

He fears the perception the public would have of him if it were revealed he had with him such huge amount of money. He has asked the police to keep it secret,'' a senior police officer told The Standard in confidence.

When two of his bodyguards were questioned where they were when the bag disappeared, they explained to investigators they had gone to clear their boss' papers with airport staff.

The bodyguards reportedly went looking for the bag on Monday evening – more than ten hours after the politician's arrival. They also later recorded statements explaining the circumstances in which they suspect the baggage went missing.

Police sources at Criminal Investigations Department headquarters and JKIA revealed the bodyguards cited their boss, saying he forgot the baggage at the VIP Lounge II, as he left in a hurry to board his car on Monday.

"They say the bag had a lot of money in US dollars and their boss left it in the lounge, went for a short call, came back, and sat for a short while before they stood up and left for the arrival area," said a police source, who asked not to be named because of the sensitive nature of the loss and the orders to keep the investigations close to their chests.
The circumstances around the massive loss remain mysterious because surveillance cameras, according to police sources, only recorded the politician with the bag inside the VIP Lounge II, and when he changed his seat.

But the Monday morning CCTV camera footage the police have been ordered to review meticulously record the politician sitting in the lounge with his bag, but does not capture what happened to the bulky hand luggage after he rose to go to the washrooms.


 
Amsterdam walipokelewa kama VIPs na hawakupitia maeneo ya kukaguliwa walishuka kwenye ndege na kuingia kwenye magari yaliyopack kwenye runway. Sishangai ila wanaweza kutia chumvi. Kwani wabunge waloambatana nao walikaa hotel za 5 stars na nasikia walisema wamejilipia wenyewe. But who knows the truth? Unaweza kuta Uhuru au Ruto amewalipia wabunge wote 40 bill za hotel na ticket za ndege. Those guys have money.

Acha kukurupuka wewe! Hicho kiasi mbona kikubwa sana mkuu? Kwani kuweka Bond ni lazima iwe fedha taslimu jamani naomba msaada wenu wajuzi wa haya mambo!

Kwa mtu kama Uhuru siyo rahisi kutembea na kiasi kikubwa hivyo cha fedha maana ni mtu msomi hivyo kwa akili ya kawaida tu huwezi kufikiria hivyo. Labda kama mleta thread umechanganya taarifa pengine ni dola milioni 1. ambayo kwa Kenya ni fedha kidogo tu unaweza weka hata kweney mfuko wa shati.
 
Kigogo mmoja wa tuhuma za mauaji katika orodha ya Ocampo 6 amepoteza mkwanja wa dola za kimarekani milioni 10 taslimu ambayo ni sawa na Ksh 840 milioni na pia ni sawa na hela yetu ya madafu Tsh bilioni 15,120,000,000.00 alipokuwa anarejea kutoka Hague uholanzi,hizo fweza alikuwa nazo kwenye mfuko wake na alishuka nao uwanja wa ndege lakini akausaha lounge ya VIP akiwakimbiliwa wapambe wake waliokuja kumlaki hiyo siku ya Jumatatu waliporudi,waliorudi hiyo Jumatatu walikuwa ni Uhuru Kenyata,Ruto na Sang.
Nafikiri mpaka hapo msomaji utakuwa umeshajua ni nani mwenye hizo fwedha ,kwake huyo jamaa hiyo ni hela ya kununua mboga sokoni.Inasemekana alibeba dolali hizo hadi Hague kwa ajili ya kujiwekea bond iwapo angeaambiwa aweke bond,cha kushangaza ilikuwaje apite na maburungutu yote hayo hapo Hague kwenda na kurudi,kwa uwanja wa Jomo Kenyata hilo linawezekana kwani jamaa ndio kati ya wenye nchi na haguswi kwa lolote hapo Kenya,pia inashangaza kwa mtu msomi kubeba hela taslimu katika ulimwengu wa siku hizi,au hizo pesa ziliombewa Bagamoyo,hata basi angeshindwa kutumia benki basi angetumia M-Pesa,
du acha bana mitu hii ina fweza,na jamaa wala hajatikisika ,akaenda viwanja vya Uhuru kujumuika na wapambe wake bila kuonyesha hisia zozote za kupoteza fwedha.

no shida kubeba fedha, una-declare toka mwanzo wa safari kisha unasepa., BTW kwa shauri hili tutasikia mengi kwani ni shauri SPECIAL.
 
wish was there to capture that luggage...hahaha, mguu moja kisogoni mmoja usoni..mbio hizi si mbio tena...
 
Uhuru denies losing Sh840m after Hague trip
BY CHIKO LAWI
Updated : 1days and 2 hours and 3 minutes ago
Facebook Twitter Email Print
null
1/2Mr Kenyatta at The Hague court/File
NAIROBI, Kenya, Apr 15 - Deputy Prime Minister Uhuru Kenyatta has strongly denied losing any cash upon returning from The Hague on Monday.

In a statement, Mr Kenyatta has described the report of missing Sh840m as outrageous.

He however said his aide lost a bag at the JKIA.

Below is the full statement from his office.

The front page article in 'The Standard' this morning is an atrocious falsehood and part of the current conspiracy to discredit the Deputy Prime Minister, Mr Uhuru Kenyatta. The description, the blogs (which specifically mention his name) plus the fact that only he reported a lost bag, make it very clear that the accusations are specifically against the DPM.

His assistant left one of his bags on the plane on Monday morning when they arrived back in Nairobi. All his bags had been subjected to normal security screening and scanning in Amsterdam.

When the assistant went back to look for it, it was missing and the matter was reported to Kenya Airways and the police. The contents were detailed to the police and they are still tracing this bag.

USD10m in USD100 notes weighs 100 kg is 4 cubic feet and the bag was a small computer bag. This just confirms how ludicrous the report is.

Carrying that amount of cash is in contravention of many laws and constitutes a serious crime. The most serious being money laundering, which legislation the DPM was instrumental in having passed.

The statement was not verified with either the DPM, the police nor any other authority.

The DPM has therefore instructed his lawyers to take immediate legal action against the Standard for publishing such atrocious false hoods and has reported the matter to the police and requested them to investigate the very serious crimes that are committed by anyone who makes such serious false accusations.

The consequences of such accusations are even more serious as they would mean his contravention of the Court Order issued by the Judges of the ICC. It appears that the object of the false accusations was an attempt to seriously prejudice the DPM's position before the court in the Hague.

It is extremely disappointing that there are forces that will go to such lengths and write such obviously false statements in order to discredit the DPM. It is of extreme concern that the media can publish such unverified falsehoods. It is very important that the police find and expose the persons behind these atrocious accusations and that the media are taken to task for publishing, what is so obviously, a malicious and false report.

Munyori Buku
Director of Communication
Office of the Deputy Prime Minister and Minister for Finance



Read more: Capital FM Kenya: Uhuru denies losing Sh840m after Hague trip
Under Creative Commons License: Attribution Non-Commercial No Derivatives
 
Back
Top Bottom