Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
- Thread starter
- #21
Usikute alimtuma akatafute hela ya kula maana maisha haya ya kikwete....hahahahahah
Naye huyo mwanaume atakuwa mjinga sana kumtuma mke wake akaliwe na wanaume wengine.
Usikute alimtuma akatafute hela ya kula maana maisha haya ya kikwete....hahahahahah
Kwa sababu mkamatwa na ngozi ndio mla nyama.
mpe namba hawatulize mzuka
Kwa ivyo ngozi ni maku, eh!
Mbona wanaume wanao wanunua hawakatwi?
Kama Serikali inakuwa makini kupambana na biashara hii basi watakaokamatwa ni wengi.. Robo tatu ya wasanii wa kike ni wafanya biashari hii.. Wanafunzi wa mavyuo wengi nao ni wafanyabiashara wazuri tu.. Nina shaka hata mjengoni wako wafanya biashara mule.. Na hivi walivyojazwa.. duh...