Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Hebu tujadili kisa hiki:
Umekwenda mahali Fulani(ofisini au nyumbani kwa mtu),
Ukakaribishwa vizuri,
Umesha zoea kukuta watu wengi,
Bahati mbaya siku hiyo ukamkuta Jamaa huyu peke yake ambae unamfahamu vizuri
Akafunga mlango na kuanza mishemishe za kukubaka.
Kama ni wewe utafanyaje? kwenye situation kama hiyo unashauri mtu afanyeje???
Umekwenda mahali Fulani(ofisini au nyumbani kwa mtu),
Ukakaribishwa vizuri,
Umesha zoea kukuta watu wengi,
Bahati mbaya siku hiyo ukamkuta Jamaa huyu peke yake ambae unamfahamu vizuri
Akafunga mlango na kuanza mishemishe za kukubaka.
Kama ni wewe utafanyaje? kwenye situation kama hiyo unashauri mtu afanyeje???