Teh unaweza kuta kuna watu walitamani kuingia nae walale nae ila tu kwa kuwa watu walikuwa wengi ndo wakaamua kupotezea.Baada ya kumzika changudoa mmoja maarufu,watu walishindwa kuamua waandike nini kwenye kaburi lake.Hatimaye akajitokeza mzee mmoja akaandika;AT LAST SHE SLEPT ALONE!
Baada ya kumzika changudoa mmoja maarufu,watu walishindwa kuamua waandike nini kwenye kaburi lake.Hatimaye akajitokeza mzee mmoja akaandika;AT LAST SHE SLEPT ALONE!
Inaonekana huyo mzee alikuwa na profile ya kutosha kwa marehemu
Kwenye msiba wa changudoa mwingine huyo mzee akaandika 'at last her she has managed to put her legs together'!
Nimepata usingizi ghafla