Mtu mweusi: Kiumbe mwenye historia tata

Bado unarudia "mweusi", nimesema; Uarabu si rangi ya mtu, uarabu ni lugha.

Sasa sijuwi ni nani alikujaza ujinga kuhusu Waarabu kuwa si weusi pia.

Mkuu tupe fact kuhusu Waafrika au mtu mweusi kama uzi unavyosema sababu historia ya waarabu ipo wazi ila leo ulimwenguni kuna watu wanaojinasibisha na Waarabu kwa sababu hizi zifuatazo:
  1. Kila anayeishi katika nchi ya Kiarabu na kuwa na uraiya wa nchi ya Kiarabu
  2. Kila anayezungumza Kiarabu na kufuata mila na ada za Kiarabu
  3. Kila ambaye anajua kuwa asili yake na ya wazee wake ni Waarabu hata ikiwa hajui Kiarabu
Lakini kulingana na kilichoandikwa kwenye vitabu vingi vya historia waarabu wote ulimwenguni wanatokana na jadi moja ambaye ni mtoto wa Nabii Nuh aitwaye Sam, lakini baadaye waligawanyika katika makundi matatu:

1- Waarabu (Al-Baida): Nao ni Waarabu ambao leo hawako tena ulimwenguni kwa sababu ni kaumu zilizoangamizwa na Mwenyezi Mungu baada ya kukataa kufuata maamrisho yake na kwenda kinyume na Mitume yao, nao ni: Kaumu ya Hud ambayo ilikuwa ikijulikana kwa jina la A'ad, na kaumu ya Saleh ambayo ilikuwa ikijulikana kwa jina la Thamud. Kaumu mbili hizi ziliangamizwa na Mwenyezi Mungu kwa kumuasi na kutofuata amri na maelekezo ya Mitume yao, na waliobakia katika makundi haya mawili ndio waliokuja kufanya makundi ya Waarabu wanaojulikana kwa jina la Waarabu (Al-A'ariba).

2- Waarabu (Al-A'ariba): Nao ni Waarabu waliotokana na mtoto wa Nabii Hud (AS) ajulikanaye kwa jina la Qahttaan na kutokana na kizazi chake ndio hawa Waarabu wanaoitwa Al-A'ariba wakaenea kila upande. Waarabu hawa ambao makabila yao makubwa wakati huo yalikuwa ni Himyar na Kahlaan walikuwa wakiishi Yemen na kuwa na ufalme na ustaarabu mkubwa mpaka yalipotokea mafuriko makubwa hapo Yemen yakawatawanya na kuwasukuma kwenda sehemu nyengine mbali mbali za Bara Arabu na Shamu na Iraqi na Misri na Afrika Mashariki.

3- Waarabu (Al-Mustaariba): Nao ni Waarabu waliotokana na Nabii Ismail (AS) ambaye aliletwa na babake Nabii Ibrahim (AS) na kuwekwa katika bonde la Makka pamoja na mamake Hajar na kuachwa hapo kwa amri ya Mwenyezi Mungu. Nabii Ismail hakuwa Mwarabu lakini baada ya kukaa hapo Makka na kutifuka chemchemu ya Zamzamu, walikuja Waarabu wa Kiyemeni wa kabila la Jurhum na walipoona maji hapo waliomba kubakia hapo na ndipo Nabii Ismail akakulia kwenye kabila hilo na kujifunza Kiarabu na kuoa katika kabila hilo. Kwa hivyo, kizazi chake kiliinukia kuwa Waarabu kwa kuchanganyika na kabila la Waarabu na wakawa wanajulikana kama Waarabu Al-Mustaariba.
 
Hapo juu nimeeeka link ya mmoja wa watafiti na waandishi wa historia ya ukweli ya Afrika. Tatizo tulilonalo wengi ni kutopenda kusoma historia kwa undani ili kupata kujua. Historia tunayofundishwa shuleni kwa sehemu kubwa haijaingia ndani sanaa kuelezea kinagaubaga Afrika ma historia yake.
 
Mkuu tupe fact kuhusu Waafrika au mtu mweusi kama uzi unavyosema sababu historia ya waarabu ipo wazi ila leo ulimwenguni kuna watu wanaojinasibisha na Waarabu kwa sababu hizi zifuatazo:
  1. Kila anayeishi katika nchi ya Kiarabu na kuwa na uraiya wa nchi ya Kiarabu
  2. Kila anayezungumza Kiarabu na kufuata mila na ada za Kiarabu
  3. Kila ambaye anajua kuwa asili yake na ya wazee wake ni Waarabu hata ikiwa hajui Kiarabu
Lakini kulingana na kilichoandikwa kwenye vitabu vingi vya historia waarabu wote ulimwenguni wanatokana na jadi moja ambaye ni mtoto wa Nabii Nuh aitwaye Sam, lakini baadaye waligawanyika katika makundi matatu:

1- Waarabu (Al-Baida): Nao ni Waarabu ambao leo hawako tena ulimwenguni kwa sababu ni kaumu zilizoangamizwa na Mwenyezi Mungu baada ya kukataa kufuata maamrisho yake na kwenda kinyume na Mitume yao, nao ni: Kaumu ya Hud ambayo ilikuwa ikijulikana kwa jina la A'ad, na kaumu ya Saleh ambayo ilikuwa ikijulikana kwa jina la Thamud. Kaumu mbili hizi ziliangamizwa na Mwenyezi Mungu kwa kumuasi na kutofuata amri na maelekezo ya Mitume yao, na waliobakia katika makundi haya mawili ndio waliokuja kufanya makundi ya Waarabu wanaojulikana kwa jina la Waarabu (Al-A'ariba).

2- Waarabu (Al-A'ariba): Nao ni Waarabu waliotokana na mtoto wa Nabii Hud (AS) ajulikanaye kwa jina la Qahttaan na kutokana na kizazi chake ndio hawa Waarabu wanaoitwa Al-A'ariba wakaenea kila upande. Waarabu hawa ambao makabila yao makubwa wakati huo yalikuwa ni Himyar na Kahlaan walikuwa wakiishi Yemen na kuwa na ufalme na ustaarabu mkubwa mpaka yalipotokea mafuriko makubwa hapo Yemen yakawatawanya na kuwasukuma kwenda sehemu nyengine mbali mbali za Bara Arabu na Shamu na Iraqi na Misri na Afrika Mashariki.

3- Waarabu (Al-Mustaariba): Nao ni Waarabu waliotokana na Nabii Ismail (AS) ambaye aliletwa na babake Nabii Ibrahim (AS) na kuwekwa katika bonde la Makka pamoja na mamake Hajar na kuachwa hapo kwa amri ya Mwenyezi Mungu. Nabii Ismail hakuwa Mwarabu lakini baada ya kukaa hapo Makka na kutifuka chemchemu ya Zamzamu, walikuja Waarabu wa Kiyemeni wa kabila la Jurhum na walipoona maji hapo waliomba kubakia hapo na ndipo Nabii Ismail akakulia kwenye kabila hilo na kujifunza Kiarabu na kuoa katika kabila hilo. Kwa hivyo, kizazi chake kiliinukia kuwa Waarabu kwa kuchanganyika na kabila la Waarabu na wakawa wanajulikana kama Waarabu Al-Mustaariba.

Author Biography - Ambakisye Dukuzumurenyi
 
Mada yako umewasilisha kama vile umetoka kusoma makala za wazungu ukaja na mtazamo wao.

Well, Afrika imetoa mchango mkubwa katika maendeleo ya dunia. Kuanzia kilimo, utabibu hadi muziki.

Swali lako kwa nini tumetofautiana kimaumbile rangi na mambo mengine nadhani jibu la swali hili ni mchanganyiko wa mambo mengi. Tofauti zetu katika genes, vyakula tunakula, mazingira tunayoishi.....pia muda muda unavyozidi jongea utaona tofauti zinazidi kuonekana.
 
mkuu, binafsi nakuunga mkono, mazingira humbadili kiumbe yeyote. mfano mtu akitoka afrika aende bara lenye hali ya hewa tofauti kabisa aishi huko miaka mingi halafu arudi, kuna uwezekano mkubwa asitambuliwe kutokana na mabadiliko ya mwili, mfano kama aliishi kwenye baridi sana atakuwa na vinywelea vingi kwa sababu mwili hujibadilisha kuendana na mazingira yaani kujidhibiti kufuatana na mazingira tofauti. sasa nimetazama kwa mtu mmoja tu, je endapo ni kizazi cha 40au 50 mabadiliko yatakuaje ? ni mawazo yangu tu, kama pana mapungufu naomba nirekebishwe.
 
Mabara ambayo hayaishii na "CA" ni Europe na Asia tu. Iweje jina LA Africa iweje lihusishwe na Uarabu/ Kiarabu? Je ni nani aliyetoa majina kwa haya mabara ya dunia?


Jina la Afrika "simply" linatokana na na neno/jina la Kiarabu "Afrit" (the hideous one). Hiyo ni nearest terminology kuliko kutoka lugha nyingine yeyote ya Afrika au duniani.

Majina ya sehemu na au mahala, nchi, bara, hayatolewi kama unavyompa jina mwanao. Majina hutegemea umaarufu, muonekano wa sehemu, lugha iliyotumika na hata
ushajazwa ujinga,angalia usituambukize na sisi...wapelekeee Arabs wenzio huko


Ujinga umejazwa wewe kuaminishwa kuwa Mwafrika ni mtu mweusi pekee, kuaminishwa kuwa Mwarabu ni mtu mweupe, kuaminishwa kuwa Mwarabu si Mwafrika, kuaminishwa kuwa mtu mweusi ni duni, kuaminishwa Mwarabu ni mtu mbaya sana.

Hayo yote ni ujinga uliojazwa lakini hujitambui.

Cha kushangaza hata anapochorwa shetani anachorwa mweusi kama vile weusi ni kitu kibaya.

Mimi nnajaribu kukutoa ujinga uliojazwa, nisome kwa makini.
 
Jina la Afrika "simply" linatokana na na neno/jina la Kiarabu "Afrit" (the hideous one). Hiiyo ni nearest terminology kuliko kutoka lugha nyingine yeyote ya Afrika au duniani.

majina ya sehemu na au mahala, nchi, bara, hayatolewi kama unavyompa jina mwanao. Majina hutegemea umaarufu, muonekano wa sehemu, lugha iliyotumika na hata



Ujinga umejazwa wewe kuaminishwa kuwa Mwafrika ni mtu mweusi pekee, kuaminishwa kuwa Mwarabu ni mtu mweupe, kuaminishwa kuwa Mwarabu si Mwafrika, kuaminishwa kuwa mtu mweusi ni duni, kuaminishwa Mwarabbu ni mtu mbaya sana.

Hayo yote ni ujinga uliojazwa lakini hujitambui.

Cha kushangaza hata anapochorwa shetani anachorwa mweusi kama vile weusi ni kitu kibaya.

Mimi nnajaribu kukutoa ujinga uliojazwa, nisome kwa makini.

The Name Africa is of African Origins from the Egyptian Word "Afru-ika" or 'Motherland."

Africanus...The name signifies that the person named himself After Africa. One thing is certain, Greek and Latin have Egyptian linguistic influences although both are Indo-European languages. Besides, the term "Indo" comes from "India," the word "India" came from the Arabs, who pointed out that Kush, a son of Ham had two sons, "Hind," and "Sind." Hind of Kush established a culture in India, Sind of Kush established a culture in the Arabian region. Nimrod established in parts of Mesopotamia.

Re: Africa named after a Roman General?
 
Kama Obama Mweusi basi sisi ni Mikaa kabisa.

-Rangi ya ngozi inaathirika kutokana na mazingira,Rangi nyeusi imetokana na athari za mionzi ya jua na pia kuna kitu kinaitwa Gene-Mutation(Kubadilika kwa genes) hii ni tofauti na evolution.

Ngozi Nyeusi imetokana na genemutation,Tumepigwa na Jua sana mpaka genes zimebadilika.
Sisi na watu weupe hatutofautiani kwa rangi tu hata skull structure ni tofauti facial features za watu weupe ni tofauti na za kwetu yaani ukiangalia macho, pua na mdomo wa mwafrica ni tofauti na wa mtu mweupe ..

Hiyo mutation unayoiongelea ilitokea kwenye ngozi tu! That's why ili-affect rangi ya ngozi zetu kuwa nyeusi na si nyeupe kama za wazungu? Je hizo tofauti nyingine nilizoziongelea zilitokana na nini?
 
Sisi na watu weupe hatutofautiani kwa rangi tu hata skull structure ni tofauti facial features za watu weupe ni tofauti na za kwetu yaani ukiangalia macho, pua na mdomo wa mwafrica ni tofauti na wa mtu mweupe ..

Hiyo mutation iliyotokea ili kwenye ngozi tu! That's why ili-affect rangi ya ngozi zetu kuwa nyeusi na si nyeupe kama za wazungu?
Wewe mbona hufanani na watu wa jamii kwa mfamo....Wa-iraqwi toka Karatu na Mbulu? Hawa wanapua zilizochongoka, midomo mwembamba, pia skull structure ni tofauti sana na jamii nyingine kama Sukuma au Makonde.

Jamii za watu kutofautiana ni kawaida kwasababu ya tofauti ya genes. Ukiamwangalia mzungu anayesema yeye ni Mfaransa unaweza ukaona tofauti yake na mzungu anayeishi Pittsburgh Russia. Kwanini na hawa wanatofautiana?
 
Tumekuumbeni kwa rangi na jinsi tofauti ili mpate kufahamiana!! Hili ndo lengo la muumba wetu!! Hizi khabary nyingine ni blabla tu!!
 
Sisi na watu weupe hatutofautiani kwa rangi tu hata skull structure ni tofauti facial features za watu weupe ni tofauti na za kwetu yaani ukiangalia macho, pua na mdomo wa mwafrica ni tofauti na wa mtu mweupe ..

Hiyo mutation unayoiongelea ilitokea kwenye ngozi tu! That's why ili-affect rangi ya ngozi zetu kuwa nyeusi na si nyeupe kama za wazungu? Je hizo tofauti nyingine nilizoziongelea zilitokana na nini?
Mkuu mtu mweupe unayemzunguzia ni pamoja ndugu zetu Albino.
 
Tumekuumbeni kwa rangi na jinsi tofauti ili mpate kufahamiana!! Hili ndo lengo la muumba wetu!! Hizi khabary nyingine ni blabla tu!!
Watu wanaofanana kwa hali, rangi au jinsia wanaweza wakafahamiana pia. Kwahiyo hapa kufahamiana si lamuhimu sana.
 
Wasalaam ndugu zangu,
Naomba watalaamu mnijuze hili swali linalonitatiza kwenye maisha yangu kila siku.
Kama binadamu tumetokea sehemu moja kwanini tuwe na utofauti mkubwa hasa kwenye rangi na maumbile? Kuna nadharia nyingi ambazo zimejaribu kuelezea asili ya binadamu lakini bado kuna vitu vimefichika sana hata sisi tusiweze kuvifahamu.

Kitu cha kukumbukwa ni kwamba tofauti na watu wa Asia,
Sehemu kubwa ya historia ya Afrika na watu weusi imeandikwa na wazungu.
Uchina, India, Uarabuni, Uajemi pamoja na mashariki ya mbali waliandika historia na falsafa ambazo zipo hai mpaka leo. Hasahasa jamii ya Waarabu na Wayahudi wamekuta sehemu kubwa ya historia yao ikitunzwa kwa kiwango kikubwa kwasababu dini za Ukristo na Uislamu ambazo ndizo kubwa hapa duniani zaimeanzia huko.

Lakini ukija hapa kwetu Afrika,
Historia kubwa iliyopo ni ile baada ya ukoloni: Ambayo inamweka mwafrika kama kiumbe asiye na mchango wowote katika dunia hii ya leo. Na hata wasomi mashughuli wenye Asili ya Kiafrika kama Cheikh Anta Diop, Ivan Van Sertima, Frantz Fanon, Rudolph Windsor, Simiyu Wandibba, John Clarke, John Franklin na Walter Rodney walipojaribu kuchapisha maandiko yao kuhusu mtu mweusi katika historia ya leo na ile kabla ya ukoloni walipingwa.

Walipingwa na wazungu,
Lakini kibaya zaidi walipingwa na watu weusi ambao wanaamini kwamba hawa wasomi wanataka kupotosha ukweli ili tu wawafanye Waafrika wajisikie vizuri. (Politically Correct History). Mpaka sasa kuna nadharia kubwa hapa duniani ambazo zimetawala historia ya dunia lakini bado na zenyewe hazina mashiko na hazitoi majibu stahiki yenye kutosheleza.
Nitaziainisha hizo nadharia hivi punde....................

Kabla ya ujuavyo ....

Afrika historia yake aliharibiwa.....

Angalau kuna masalia ya historia hiyo Ethiopia.

[HASHTAG]#Pyramid[/HASHTAG]
 
History ya mtu mweusi ipo sema tu kuna baadhi ya watu wameficha, waliwezaje kugundua kuwa wayahudi WA mwanzo walikuwa weusi. Documents zikivumbuliwa kituo cha Kwa Vatican zikienda Vatican hazirudi hakuna cha mrejesho. Kuna documents nyingi za kale zimegundulika zimefungiwa huko Vatican. Kwa mazingira haya uwezi kupata ukweli wowote ule.
 
= mashuhuri

Hata ulivyoi "present" argument yako umeshaziamini na kuzifanya "facts" zile elimu za kujazwa ujinga.

Hususan hapo kwenye "Uarabu".

Nisome vizuri nta "summarize" kuhusu hilo kuwa hata ulivyo li "present" inaonesha hauna "independent way of thinking". Kwanini? ...



1) Uarabuni ni wapi?

Mimi nijuavyo, Tanzania kule Nzega kuna sehemu inaitwa Uarabuni na nna uhakika kama umefika Bujumbura kuna sehemu inaitwa Uarabuni, kama haujafika wapo waliofika na watayakinisha hilo kuwa ni ukweli.

2) Waarabu ni akina nani?

Waarabu ni wote ambao lugha mama kwao ni Kiarabu, si rangi zao wala si eneo wanalotokea.

4) Waarabu asili yao ni wapi?

Mimi nna kila sababu za kuamini kuwa Waarabu asili yao ni Afrika kwa sababu:

Mosi, wengi wao wapo Afrika kuliko bara lolote lingine duniani.

Pili, Kiarabu kinaongewa sana (na watu wengi zaidi) Afrika kuliko bara lingine lolote.

Tatu, jina "Afrika" ni rahisi sana kulihusisha na Kiarabu kuliko lugha nyingine yoyote.

Kabla hatujachambuwa zaidi kwanza tukubaliane kuwa Waarabu ni Waafrika ki asili na si kama ulivyo "present" wewe kama vile hawaeleweki eleweki ni watu wa wenye asili ipi.
Wewe bibi upimwe akili Dini imekukaa mpaka unaongea Pumba tu hapa
 
Back
Top Bottom