Mtu Muhimu Sana Maishani Mwako

Should be my mother but sidhani kama naweza kumlinda au kufa kwa ajili yake....thats not because i love her less..but because I have come to accept things that I cant change or control.. lakini kila siku nikisali namuombea protection, good health and God's mercy....

A blessing and prayer tribute to all mothers
"Blessed be all mothers
Who have come into our lives
Whose kindness, care and loving
Remain with us to guide.

Your inspiration in us
Made us strive in every way
Especially to remember
Helping others makes our day.

Mothers, this little tribute
Flows directly from my heart
You are so loved and cherished
Invaluable, one and all, you are.
 
kila mtu aliye karibu na wewe ana umuhimu, kila mmoja kwa kiasi chake.

Swali linakuja je, mtu gani ni muhimu kuliko wote maishani mwako??

Uko tayari kumlinda kwa lolote?:fencing:
Uko tayari kufa kwaajili yake?:rip:

Na kama angekua tofauti na alivyo (tabia,sura,elimu,n.k)/au akibadilika bado atakua na umuhimu alio nao maishani mwako?:a s thumbs_up:

mwenzi wangu.
 
kwahiyo mungu kwako ni mwamedi, au mzimu unaoitwa alah, au?
Allah means GOD... the same God Christians and Jews believe.. so be careful when u insult what other ppl believe...
If u dont mind its Mohammed not mwamedi and correct ur informations he is a messenger, prophet or mtume sio mungu.... thanks
 
Umeshatafakari mama wa kwanza?

Nashindwa kuulinganisha upendo kwa mama na baba yangu hapa duniani
Wazazi ni mungu wa pili...watu woooooooooooote wanaweza kukutenda mabaya ka kukuacha uteseke lakini ukirudi kwa wazazi ni dhahiri utayafeel mapenzi yao kwako.
Wako kwa ajili yako daima dumu(Unconditional love)
 
Mke wangu ndio mtu wa muhimu kuliko wote maishani mwangu. niko tayari kumlinda na kumtetea kwa lolote hata kama amewakosea watu wengine etc. ila, siko tayari kufa kwaajili yake kwasababu Yesu peke yake ndo aliyekuwa na uwezo wa kufa kwaajili ya wengine. Mungu anatusaidia, hawezi kuwa tofauti wala hawezi kubadilika kwa lolote.

namtetea na kumpenda. mfano: yeye kama mwanamke wenye mapungufu kama walivyo wanawake wengine,hata kama atakuwa amewakosea kwa bahati mbaya majirani,rafikize au mtu yeyote, sitakubali mtu yeyote anyooshe mkono kumpiga, kumtukana, kumdhalilisha kwa lolote. anayeona waifu wangu ana matatizo anatakiwa aje aniambie mimi imrekebishe, kama hataki kuniambia mimi basi anyamaze kimyaaa aniachie waifu wangu. niko tayari kumlinda asiumie moyo ili sote tuishi maisha marefu,

nimemtetea na hakuna hata ndugu yeyote mwenye mamlaka ya kuingilia ndoa yetu, ndugu yeyote akitaka anichokoze basi aingilie ndoa yetu, amsema mke wangu vibaya au afanye lolote...awe dada yangu(wifi yake waifu), maza wangu au yeyote, mimi nilishajiunga kuwa mwili mmoja na wafu wangu, so anayemgusa yeye ananigusa mimi. However, wanaweza kutoa ushauri tu kwa busara na heshima nyingiiiii. out of that, watuache tu, byebye.

Hapo kwenye red ndio unafiki mkubwa wa binadamu ulipo ... tunapenda kurahisisha maandiko ili tu yaendane na mapungufu yetu ya kibinadamu ... huyo unayedai unampenda, kwa sentensi hiyo humpendi kwa dhati, sababu huo sio upendo wa kweli. Yesu alifanya hayo yote akitufundisha kuyashika na kuyatekeleza hayo, je! panapo tukio baya madhalani la uvamizi, huwezi mtetea huyo mkeo "unayedai kumpenda" hata kufa?? "Greater love has no one than this, that he lay down his life for his friends. You are my friends if you do what I command. I no longer call you servants, because a servant does not know his master's business. Instead, I have called you friends, for everything that I learned from my Father I have made known to you" (John 15:13-15). Tuache UBINAFSI WA KIROHO!!

Me nawapenda sana mke na mtoto wangu na niko tayari kuwatetea na kuwalinda mpaka kufa kwa ajili yao! Help me God!
 
If i were to write a book just on the first page would be crammed with good words to eulogized about my beautful wife on the second page litle cute Nguli would cover that page.
 
kwenye kuthamini of kozi ni wazee lakini hilo suala la kulindana HALINDWI MTU ! hehehehe ikitokea tsunami nabeba hamsini zangu najiokoa peke yangu, atakaefariki nitasimamia mazishi yake.
 
kwenye kuthamini of kozi ni wazee lakini hilo suala la kulindana HALINDWI MTU ! hehehehe ikitokea tsunami nabeba hamsini zangu najiokoa peke yangu, atakaefariki nitasimamia mazishi yake.
Mi kwakuwa nimeshindwa kumchagua mmoja kati ya baba yangu, mama, yangu, mke wangu, na mabinti zangu wawili.

Na kwakuwa alkoholi ndiyo faraja yangu kuu na rafiki yangu kipenzi.

Basi mtu muhimu kwa sasa ni yule binti wa kaunta pale Etiennes Club. (Chaguo hili ni subjected to change kutegemea na hali halisi na wepesi wake wa kuniongezea kinywaji baridi)
 
Back
Top Bottom