Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
nilitegemea hili....he he he...
hakuna wayeyushaji humu JF kama Tanmo, Mtu chake na Ndallo....
hii thread ifungwe tu maana hakuna anayewazidi hawa......
itabd hao wapewe zawadi zao
nilitegemea hili....he he he...
hakuna wayeyushaji humu JF kama Tanmo, Mtu chake na Ndallo....
hii thread ifungwe tu maana hakuna anayewazidi hawa......
ahsante,nahitaji ma6bi yako sana.
pendekezeni majina kura zitapigwa badae zawadi itajulikana badae
hola chi chat
52 ! Pamoja na kuomba kwako ufafanuzi, na sijajua kama umeshafafanuliwa au laa,
Mimi probably nitoe ushauri "free consultation"
Thrade kama hii ya kumtafuta sijui Member miyeyusho as a leader !
Which/what the benefit we earn from it ?
Nionavyo mimi ni kama ufilisikaji wa mambo au vitu vya kimsingi unavinjari kwa baadhi ya member wanavyotakiwa kuvileta Mkekani.
Inshort inaonesha yale ya kimsingi yanapokua member kafilisika, anarudi ndani ya Jf na kuleta mada kama hii ,
baadae itakuja member gani mweupe/mfupi/mnene/mwembamba/big masaburi n.k haya ni mawazo yangu tu, kama mimi.
Wako watakaoona Thrade kama hii ina mvuto, na umaana, umuhimu simlaumu mtu ni wao na roho zao.
Yaani nimecheck nae nimekuta deni lishalipwa, sasa sijajua nani kanilipia najaribu ku trace hapa..
hivi hakuna supest myeyushaji?
Maana alichontenda leo?
Hadi anlipe
itabd hao wapewe zawadi zao
aka dabo biiiiiiBlack Bat topic zako tu hua wanifurahisha.... alafu nimesahau ile a.k.a yako.....
naomba nikumbushe ndio jina nataka pendekeza....
mkuu, Preta is the most leading Melt shaji in Jey F, followed by (names withheld). Nimesema kwa kikwetu kuonesha msisitizo.
alkuyeyushaje? Lazma ipo sababu kubwa.
heeeey! Super myeyushaji, habari za kupotea bhana...
aka dabo biiiiii
hahahaha.... huo uonezi huo Tanmo.... BTW Hongera kwa kulea naona mtoto kakua kweli kweli... au ndio kuyeyushwa kwenyewe? lol
Kongosho anakutafuta, umemuona? Manake amekupania kweli kweli. Lol... Karibu tena Jei Efu, ila ukiondokaga basi ukumbukege kuaga.
Ananitafuta wapi? Mbona tumeonana kabisa ananisaidia kukusanya madeni? Next time will heed in purple.... and THANK U in blue...
mi ndo nimelipa. Vp umemalza kuwatch ile series? Kama tayar naomba uniazime.
Ndo kwanza nipo season 2.. Unapenda series za kutisha kumbe?
Yaani, acha tu...
nazpenda sana. Nipege hyo season 1 niangalie kwanza then ukmalza hyo ya pili nami ntaichukua.