Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,810
- 623
rejeao
Dah nilishayeyushwa ila nshaganda tayari..teh
Hahahah nimeipenda!
rejeao
Teh hivi we Ashadii hakudai?
Yaani nimecheck nae nimekuta deni lishalipwa, sasa sijajua nani kanilipia najaribu ku trace hapa..
52 ! Pamoja na kuomba kwako ufafanuzi, na sijajua kama umeshafafanuliwa au laa,
Mimi probably nitoe ushauri "free consultation"
Thrade kama hii ya kumtafuta sijui Member miyeyusho as a leader !
Which/what the benefit we earn from it ?
Nionavyo mimi ni kama ufilisikaji wa mambo au vitu vya kimsingi unavinjari kwa baadhi ya member wanavyotakiwa kuvileta Mkekani.
Inshort inaonesha yale ya kimsingi yanapokua member kafilisika, anarudi ndani ya Jf na kuleta mada kama hii ,
baadae itakuja member gani mweupe/mfupi/mnene/mwembamba/big masaburi n.k haya ni mawazo yangu tu, kama mimi.
Wako watakaoona Thrade kama hii ina mvuto, na umaana, umuhimu simlaumu mtu ni wao na roho zao.
Myeyusho kwa kwanza kwa muda huu ni ADI
Kanikimbiza mita mia saba, na sredi yake ya kudai madeni
Afu kumbe hewa
Sikubali, she will pay for this!
kama haijalipwa bado nitakulipia
Hahahaaa atakuwa Mpatanishi maana si ujaijua ile kampeni yake? hahahahaaaaaa mwambie hudanganyikiiiiYaani nimecheck nae nimekuta deni lishalipwa, sasa sijajua nani kanilipia najaribu ku trace hapa..
Teh tehduh!uko siriaz sana bwana mdogo,usichukulie ishu siriaz kiivo hapa tuna chit-chat tu.
Inaelekea wanao hawagusi ata rimonti baba alivyo mkax na complicator.
sijambo shkamoo! Mi sio myeyushaji.
rejeao
Can you prove kuwa wewe si myeyushaji?
utanilipa?
Black Bat topic zako tu hua wanifurahisha.... alafu nimesahau ile a.k.a yako.....
naomba nikumbushe ndio jina nataka pendekeza....
Hahahaaa atakuwa Mpatanishi maana si ujaijua ile kampeni yake? hahahahaaaaaa mwambie hudanganyikiiii
heeeey! Super myeyushaji, habari za kupotea bhana...
Teh halafu akapotea nae hadi sasa hawajarudi na nahisi ndo hawarudi tena hadi kesho...Mh Mapatanishi mtataHahahahah mpatanishi hata hajanlipia basi, kamlipia husny. Can u imagine!