Mtu miyeyusho kuliko wote hapa JF

52 ! Pamoja na kuomba kwako ufafanuzi, na sijajua kama umeshafafanuliwa au laa,
Mimi probably nitoe ushauri "free consultation"
Thrade kama hii ya kumtafuta sijui Member miyeyusho as a leader !
Which/what the benefit we earn from it ?
Nionavyo mimi ni kama ufilisikaji wa mambo au vitu vya kimsingi unavinjari kwa baadhi ya member wanavyotakiwa kuvileta Mkekani.
Inshort inaonesha yale ya kimsingi yanapokua member kafilisika, anarudi ndani ya Jf na kuleta mada kama hii ,
baadae itakuja member gani mweupe/mfupi/mnene/mwembamba/big masaburi n.k haya ni mawazo yangu tu, kama mimi.
Wako watakaoona Thrade kama hii ina mvuto, na umaana, umuhimu simlaumu mtu ni wao na roho zao.

duh!uko siriaz sana bwana mdogo,usichukulie ishu siriaz kiivo hapa tuna chit-chat tu.

Inaelekea wanao hawagusi ata rimonti baba alivyo mkax na complicator.
 
Yaani nimecheck nae nimekuta deni lishalipwa, sasa sijajua nani kanilipia najaribu ku trace hapa..
Hahahaaa atakuwa Mpatanishi maana si ujaijua ile kampeni yake? hahahahaaaaaa mwambie hudanganyikiiii
 
Black Bat topic zako tu hua wanifurahisha.... alafu nimesahau ile a.k.a yako.....
naomba nikumbushe ndio jina nataka pendekeza....

heeeey! Super myeyushaji, habari za kupotea bhana...
 
Back
Top Bottom