Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,158
Anaye yeyusha vitu vilivoganda na kuwa vimiminika!
Mzima swaiba!
anaweza akayeyusha nikapata soda na kiu kweli hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaye yeyusha vitu vilivoganda na kuwa vimiminika!
Mzima swaiba!
Ngoja akutengenezee faster....ni mtaalamu sana wa Kuyeyusha....anaweza akayeyusha nikapata soda na kiu kweli hapa
Preta..
Salama kaka!!
unatafuta bifu na wa arusha
Teh teh Rejao....hahahahaaaaa
Hivi we musee upo humu???:juggle::A S-coffee:
Hahahah,usilete utani bana,Teh teh Rejao....hahahahaaaaa
Darling missing u,:juggle::A S-coffee:
Poa bro,salama dada, niaje?
Mbona ize tu,anaweza akayeyusha nikapata soda na kiu kweli hapa
Mbona ize tu,
Ww mfanyie mpango wa salio kwa mpesa au tigo pesa akukutanishe na bwana pepsi!!!
Mzima lkn swaiba!
Hahahahaaaaa husband anakuyeyusha tu....hata haku-miss...! LolHahahah,usilete utani bana,
Hujui rejao ndio my husband wangu!!!
Yeye na mie ni raha tu mwanzo mwisho!!
Pole sana swaiba nn tena?niko kwa hospital siko vizuri sana za kwako?
Hahahah hahahha,Hahahahaaaaa husband anakuyeyusha tu....hata haku-miss...! Lol
Pole sana swaiba nn tena?
huyo pepo ashindwe kwa jina la yesu ebo?
Mie mzima wangu!!
Hahahahahaaa sawa kwa hapo ntakachofanya ntajitahidi kuhack PM zenu tuHahahah hahahha,
Tumeamua kufanya mambo yetu kimya kimya maana tumekundua wengi mnatuangalia kwa macho ya husda lol!
Pole mwaya,bora umewahi maana hawa watalaam wameamua kukomaa na na maboss wao!!,utumbo mdogo unakorofisha na nimekuja nijaze dawa kabla mgomo haujaanza mwee
Hahhahaaa hahahahhaa,Hahahahahaaa sawa kwa hapo ntakachofanya ntajitahidi kuhack PM zenu tu
Pole mwaya,bora umewahi maana hawa watalaam wameamua kukomaa na na maboss wao!!,
Mungu atakusaidia utapona mapema mpnz!