Sa sijui tumwite he/she? Inanikanganya!
To me -no wonder, he/she is simply paying for the actions of his/her own decision, and he/she has got none to blame.!
Ni mpumbavu flani tu, ambaye hajapata kujipenda maishani mwake, then how would he/she expect the 3rd parties to love or feel pitty on him/her?
He/she has chosen a way of life, acha ailipie.
Tchao!
source. Tanzania Daima....Fanyeni utafiti waandishi kabla ya kutoa habari, Habari Leo wamesema jamaa hakuokotwa beach wala kubakwa, alikunywa sumu nyumbani kwake, na mwenyenyumba wake akawapigia polisi na ndio waliomchukua na kumpeleka hospitali, na mabli ya sumu pia amegundulika kuwa na ugonjwa wa uti wa mgongo! Jamaa huyu alikuwa akiitwa Abdalla hapo alipozaliwa, na baadyae alipoanza balaa lake akajiita Vicky, hivyo msiendeleze uzushi wa kubakwa, hakubakwa, asingekufa kwa kubakwa, kanywa sumu ka balaa lake mwenyewe!
na Msii, Tz, - 21.05.09 @ 10:03 | #25384