Mwache77
Senior Member
- Jun 3, 2011
- 174
- 57
Miaka ya 1980 katka hapo cna uhakika na mwaka,ila kuna habari zikizagaaa .tu kageuka Chatu huko Buguruni.Lakin cha ajabu hakuna aliyesema kamuona kama ukikuwe au ulimuoana na unakumbuka mwaka sahihi tukumbushe,huku buguruni kuna mambo sana.Sasa scorpion mtoa macho wanasema ametoa watu wengi nikweli au kama mtu kageuka chatu tu.Mpk leo hakuna ukwel wa mtu kageuka chatu