figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,888
- Thread starter
- #41
watasema mchanaeeeee usiku watalala wacha wacha waseme
hahahaaaa....!!!. hii haina kulala. nirudishie mke wangu.mia
watasema mchanaeeeee usiku watalala wacha wacha waseme
hahahaaaa....!!!. hii haina kulala. nirudishie mke wangu.mia
tena wewe hata kwenye list ya waliotoswa haumo hahahahhahaaaaaaaaaaaaa
hahaha hata mi nashanga! bora umwambie. . .
Muache ahangaike! Ina elekea na yeye alikuwa ana nia ya kutangaza nia sasa kachelewa amekuja na visasi na jazba lol...
Ha ha ha hivi bado tuuuuuuu?????????
wangeanzisha biashara yao!!! sio ya wenzaoBiashara matangazo.watu wanataka kuona kama inalipa.
uuuuwiii!!!! kumbe!!?tumeibiwa mke. mia
no hatujaona mkuu, bali tulishake well before use. mambo ya kukutana na sio rizki nani anayataka?
Haujambo. habari ya chuo.
hahahahahaaaa....!!!. si ndo hapo!! eti mda wote huo ndoa bado. charminglady namshauri machale yamcheze vizuri. Nikisema mimi naonekana mbea. mia
yule ni wangu sema wameweka wanasheria kibao. lakini hawataniweza hadi sasa nimeweza kuwachanganya na kutibua mipango ya ndoa. sio siri kwamba charminglady ni wangu. mimi ndo nmempokea jf na kuapply maombi ya ndoa na akanikubalia. pm ninayo. ikihitajika nitaiweka hadharani. mia
We nawe kwa kutoa siri mpaka kila mtu ajue nipo chuo ha ha ha
Mzima kabisa nambie umenimiso??? Sante sana kunikumbuka kwa salamu
waturudishie michango yetu
tena wewe hata kwenye list ya waliotoswa haumo hahahahhahaaaaaaaaaaaaa
hahaha hata mi nashanga! bora umwambie. . .
Muache ahangaike! Ina elekea na yeye alikuwa ana nia ya kutangaza nia sasa kachelewa amekuja na visasi na jazba lol...
yawezekana!
Vipi ladha yake? Mlitumia kitendea kazi au 'yango na yango'?