CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
shosti BADILI TABIA, usiache kuja kwenye kikao cha kitchen party mpatie taarifa na Mamndenyi, na wengineo
asante mama kwa kuwakumbusha,love u sana!
Last edited by a moderator:
shosti BADILI TABIA, usiache kuja kwenye kikao cha kitchen party mpatie taarifa na Mamndenyi, na wengineo
MtotoSix na charminglady maombi yao yanashughulikiwa na screening committee
Mshaoana? Mshapeana ujauzito?
Mshaoana? Mshapeana ujauzito?
Kumbe ndoa bado? Kuna walakini gani?
roho yakuuma! halooo o o o o o o. . . mbna unatoa povu hvo. umentafta lini hebu acha uzushi.
MtotoSix hebu kula hii dedication ya mduara. "wacha wacha waseme, watasema mchana ee usiku watalala"
figganigga una roho ya korosho. Hata nikikuachia unajua kabisa utatoswa lakini hukomi tu...
Mtoto6 anakudanganya wala hana mpango wa kukuoa tena kashanipm. amesema anakuchezea tu kisha aingie mitini. mia
achana nae my huz, em cum ths way tukapate lunch lmao!!!!!
Baelezeeeeeeee!
Baelezeeeeeeee!
Ha ha ha hivi bado tuuuuuuu?????????
Hakuna sababu ya kupambana wakati ndoa yako itatambulika kisheria acha atambe mitaani lakini mwisho wa siku hatashindwa kuthibitisha madai yake!
Just relax mimi nipambane nae!
Mipango imefika pazuri wala usijali.
Mia hata wewe si unamlilia yule bibi harusi.
Mia hata wewe si unamlilia yule bibi harusi.
hivi nyinyi mbona mwawaandama wenzenu!!!!???????
nakushukuru my lawyer!
shosti BADILI TABIA, usiache kuja kwenye kikao cha kitchen party mpatie taarifa na Mamndenyi, na wengineo