Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,277
- 9,912
Jf Doctor.
Mtoto wetu wa 7 amekuwa na tatizo hilo kwa muda mrefu sasa ambapo awali hatukujua kimachomsibu ila tuliona anapata tatizo la kuumwa tumbo kila wakati tukienda kwa Doctors wanamchek na kuishia kumpa Antibiotic hata huivyo afya yake ikwainazidi kudorora pia uzito unapungua.
Tuliamua kumpeleka kwa dr buigwa wa watoto ndipo alipogundua tatizo hilo kwa kuziba kwa utumbo ambapo amepatiwa dawa anazoendelea nazo. Tunategemea tarehe 30 mwezi huu Dr akamcheck tena kama atapaswa kufanyiwa upasuaji au la.
Nitaomba wale wenye uzoefu juu ya ugonjwa huu na wale Dr.hapa kwa msaada zaidi na ushauri.
Mtoto wetu wa 7 amekuwa na tatizo hilo kwa muda mrefu sasa ambapo awali hatukujua kimachomsibu ila tuliona anapata tatizo la kuumwa tumbo kila wakati tukienda kwa Doctors wanamchek na kuishia kumpa Antibiotic hata huivyo afya yake ikwainazidi kudorora pia uzito unapungua.
Tuliamua kumpeleka kwa dr buigwa wa watoto ndipo alipogundua tatizo hilo kwa kuziba kwa utumbo ambapo amepatiwa dawa anazoendelea nazo. Tunategemea tarehe 30 mwezi huu Dr akamcheck tena kama atapaswa kufanyiwa upasuaji au la.
Nitaomba wale wenye uzoefu juu ya ugonjwa huu na wale Dr.hapa kwa msaada zaidi na ushauri.