Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Pengine wakati tunalalamika huyu mtoto ajapanda ndege kutoka dar to znz wapo waliodhihaki tulijaribu kuleta ushahidi
wa jinsi watu wanavyopita uwanjani bado watu waka sisitiza kapanda ndege bila nauli na watu kutojua
haya sasa
Yule mtoto aliesemekana amepanda ndege kutoka dar to znz amekabidhiwa kwa mama yake mzazi leo
katika tukio la kushangaza mkuu wa polisi znz amesema huyu mtoto baada ya kuonekana uwanjani znz
alifanikiwa kuwapotea mara mbili kimaajabu na leo hii wakaamaua kumkabidhi mama yake mzazi
Mama mzazi alishukuru jeshi kwa kumpata mwanae ambae alisindikizwa na wana usalama mpaka kwenye meli kuelekea dar
Mama huyu alikiri kweli mtoto wake amekuwa akipotea kimazingira na anaemchukua ni baba yake na gafla anakutwa sehemu za ajabu ajabu
akasema ni kweli kinachoongelewa na wana usalama kwamba aliwapotea tena na kumpata zaidi ya marambili walipomhifadhi wakimsubiri
Ameomba jeshi kumsaidia kumpata mzazi mwenzie aaweze kutoa matumizi ya mwanae loh hapo sijaona jeshi walichojibu kwa kweli
src-itv taarifa ya haabari
wa jinsi watu wanavyopita uwanjani bado watu waka sisitiza kapanda ndege bila nauli na watu kutojua
haya sasa
Yule mtoto aliesemekana amepanda ndege kutoka dar to znz amekabidhiwa kwa mama yake mzazi leo
katika tukio la kushangaza mkuu wa polisi znz amesema huyu mtoto baada ya kuonekana uwanjani znz
alifanikiwa kuwapotea mara mbili kimaajabu na leo hii wakaamaua kumkabidhi mama yake mzazi
Mama mzazi alishukuru jeshi kwa kumpata mwanae ambae alisindikizwa na wana usalama mpaka kwenye meli kuelekea dar
Mama huyu alikiri kweli mtoto wake amekuwa akipotea kimazingira na anaemchukua ni baba yake na gafla anakutwa sehemu za ajabu ajabu
akasema ni kweli kinachoongelewa na wana usalama kwamba aliwapotea tena na kumpata zaidi ya marambili walipomhifadhi wakimsubiri
Ameomba jeshi kumsaidia kumpata mzazi mwenzie aaweze kutoa matumizi ya mwanae loh hapo sijaona jeshi walichojibu kwa kweli
src-itv taarifa ya haabari