Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Heshima Mbele,
Kwa mlio Nyumbani na ambao mmeweza kusoma gazeti la leo la Mwananchi naomba mtupe habari zaidi sababu mie nimepewa kwa kifupi tu na Mhariri wa Gazeti moja la Nyumbani.Habari hiyo inahusiana na mahojiano kati ya gazeti la Mwananchi na zakayo wangwe kuhusiana na kutelekezwa kwa familia yao na viongozi wa CHADEMA.
Inasemekana kuiwa toka Baba yao afaruiki hakuna hata kiongozi mmoja wa CHADEMA ambaye amekwenda kuwaona wala kuwasalimia nyumbani kwao.Zaidi ya yote hata hawajapewa msaada wa kifedha.
Pia imemfanya yeye na wezake wahame kwenye nyumba walioku wakipnaga na kuhamia Hosteli.
Kijana huyo pia ameeleza jinsi CHADEMA walivyomtenga baba yao kwa kumsingizia maneno ya uongo ikiwamo kuvujisha siri za Chama ili khali wangwe alidedicate muda wake mwingi ndani ya CHADEMA.
My TAKE:
1.Siyo kazi ya CHADEMA kusaidia watoto wa Marehemu,ila kama Chama hawana utaratibu wa kuwaenzi watoto wa watu ambao walijiotolea kuwa viongozi?
2.Hakuna mafao yoyote ambayo marehemu wangwe alitakiwa kupewa kama Makamu mwenyekiti wa CHADEMA?haya yangeweza kusaidia familia yake kwa sasa.
3.Je sisi kama JF hatuoni kuna haja ya kuwachangia watoto wa Marehemu wangwe ili kuwatia moyo wale wote ambo watakuwa wakiendesha Mapambano ya kisiasa?
Kwa mlio Nyumbani na ambao mmeweza kusoma gazeti la leo la Mwananchi naomba mtupe habari zaidi sababu mie nimepewa kwa kifupi tu na Mhariri wa Gazeti moja la Nyumbani.Habari hiyo inahusiana na mahojiano kati ya gazeti la Mwananchi na zakayo wangwe kuhusiana na kutelekezwa kwa familia yao na viongozi wa CHADEMA.
Inasemekana kuiwa toka Baba yao afaruiki hakuna hata kiongozi mmoja wa CHADEMA ambaye amekwenda kuwaona wala kuwasalimia nyumbani kwao.Zaidi ya yote hata hawajapewa msaada wa kifedha.
Pia imemfanya yeye na wezake wahame kwenye nyumba walioku wakipnaga na kuhamia Hosteli.
Kijana huyo pia ameeleza jinsi CHADEMA walivyomtenga baba yao kwa kumsingizia maneno ya uongo ikiwamo kuvujisha siri za Chama ili khali wangwe alidedicate muda wake mwingi ndani ya CHADEMA.
My TAKE:
1.Siyo kazi ya CHADEMA kusaidia watoto wa Marehemu,ila kama Chama hawana utaratibu wa kuwaenzi watoto wa watu ambao walijiotolea kuwa viongozi?
2.Hakuna mafao yoyote ambayo marehemu wangwe alitakiwa kupewa kama Makamu mwenyekiti wa CHADEMA?haya yangeweza kusaidia familia yake kwa sasa.
3.Je sisi kama JF hatuoni kuna haja ya kuwachangia watoto wa Marehemu wangwe ili kuwatia moyo wale wote ambo watakuwa wakiendesha Mapambano ya kisiasa?