MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
aisee wacha jamani
ana sura ya kifisadi kama babake;hayupo BOT huyu???
Duh sura ya kifisadi? Usham hukumu mtu kutokana na umbile au mwonekano wake? Si useme tu kwa sababu ni mtoto wa kigogo basi unadhani atakua mwizi au kupandikizwa cheo hiyo kusema sura yake sijui ya kifisadi tuna danganyana hapa.