Mtoto wa aliyekua raisi wa Zambia Rupia Banda
anatafutwa na polisi nchini Kenya baada ya kutoroka nchini Afrika Kusini
kufuatia tuhuma zinazomkabili kuhusiana na matumizi mabaya ya fedha
wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita nchini Zambia,
polisi nchini Kenya wamethibitisha.
Source : East Africa Radio,
Je hapa kwetu itakuja kutokea 2015?
anatafutwa na polisi nchini Kenya baada ya kutoroka nchini Afrika Kusini
kufuatia tuhuma zinazomkabili kuhusiana na matumizi mabaya ya fedha
wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita nchini Zambia,
polisi nchini Kenya wamethibitisha.
Source : East Africa Radio,
Je hapa kwetu itakuja kutokea 2015?