Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Wadau,nimesoma habari hizi kwenye magazeti ya juzi Jumatano tar.15.09.2010 kuwa mtoto wa Mzee Pius Msekwa aitwaje Julius Msekwa amefariki huko Cyprus na anatarajiwa kuzikwa Dar Jumamosi... Ni nini kilichomkumba kijana huyu? Kwa mtazamo wa picha iiliyowekwa gazetini anaonekana ni kijana sana... !!! RIP Julius....