Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
haijarishi ni kanisa la aina gani au bomani au kwa shehe,
mtoto wa nje hazuii ndoa kufungwa
huyo mama anapaswa kuwa mpole kwa yote maana nafasi ya kuolewa allipoteza enzi hizo
kwa misingi hiyo hakuna sheria yoyote au ushahidi wowote wa kuweka pingamizi ati ndoa isifungwe. ukiweza printi hii michango ya wana JF umsomee au umpe asome mwenyewe na atajua ukweli halisi. hata kama unamuogopa bro, jivike ujasiri wa kumtia moyo.
Cha muhimu jitahidi kumtafuta huyo wifi mtarajiwa umtie moyo na umfariji.
hivi ni vijimambo tu vya wadandiao ndoa za watu.
mtoto wa nje hazuii ndoa kufungwa
huyo mama anapaswa kuwa mpole kwa yote maana nafasi ya kuolewa allipoteza enzi hizo
kwa misingi hiyo hakuna sheria yoyote au ushahidi wowote wa kuweka pingamizi ati ndoa isifungwe. ukiweza printi hii michango ya wana JF umsomee au umpe asome mwenyewe na atajua ukweli halisi. hata kama unamuogopa bro, jivike ujasiri wa kumtia moyo.
Cha muhimu jitahidi kumtafuta huyo wifi mtarajiwa umtie moyo na umfariji.
hivi ni vijimambo tu vya wadandiao ndoa za watu.