Mtoto wa mwisho hafai kuoa?

Hili lina ukweli ndani yake,yaani anaonekana kama mjukuu vile,limenikuta hili ila ntamnyoosha tu...khaa!
 
masaki tatizo hilo linauhusiano mkubwa na malezi ya familia aliyotokea binti huyo na kuwa wa mwisho si sababu ya msingi, kuna familia ambazo mzazi hana kauli juu ya mtoto humpa uhuru kuliko inavyotakiwa toka akiwa mdogo, kwa hiyo akifikia umri wa kuwa mke/mume hutaka yale malezi yaendelee, hapo ulitakiwa tangu wakati wa uhusiano kabla hajawa mke basi umuonyeshe msimamo wako kuwa hupendi tabia hiii na ile, na kumuonyesha tofauti ya kule kwa wazazi na hapo kwenu ambako yeye sasa ndio anakuwa mama kwa hiyo asitegemee kuendeleza tabia za kudeka au kujiamulia anachotaka, kila nyumba moja inatofautiana na nyingine, na ili nyumba iwe na nidhamu lazima kuwe na code of behaviour. kaa nae, mjiwekee rules za kuendesha nyumba yenu na umwambie in black and white kwamba now ameingia kwenye himaya nyingine na sio kwa wazazi wake alikotokea ajirekebishe ili asiwe kero, nachukia sana tabia ya kununa nuna kwenye ndoa... aaghhh!

mimi nimejaaliwa mtoto 1 tu tena wa kike na sitaki kabisa anizidi kauli maana najua nikiendekeza hilo atakuja kugeuka masikio ya punda atazidi kichwa na atakuja kushindikana kwenye ndoa.
 
masaki tatizo hilo linauhusiano mkubwa na malezi ya familia aliyotokea binti huyo na kuwa wa mwisho si sababu ya msingi, kuna familia ambazo mzazi hana kauli juu ya mtoto humpa uhuru kuliko inavyotakiwa toka akiwa mdogo, kwa hiyo akifikia umri wa kuwa mke/mume hutaka yale malezi yaendelee, hapo ulitakiwa tangu wakati wa uhusiano kabla hajawa mke basi umuonyeshe msimamo wako kuwa hupendi tabia hiii na ile, na kumuonyesha tofauti ya kule kwa wazazi na hapo kwenu ambako yeye sasa ndio anakuwa mama kwa hiyo asitegemee kuendeleza tabia za kudeka au kujiamulia anachotaka, kila nyumba moja inatofautiana na nyingine, na ili nyumba iwe na nidhamu lazima kuwe na code of behaviour. kaa nae, mjiwekee rules za kuendesha nyumba yenu na umwambie in black and white kwamba now ameingia kwenye himaya nyingine na sio kwa wazazi wake alikotokea ajirekebishe ili asiwe kero, nachukia sana tabia ya kununa nuna kwenye ndoa... aaghhh!

mimi nimejaaliwa mtoto 1 tu tena wa kike na sitaki kabisa anizidi kauli maana najua nikiendekeza hilo atakuja kugeuka masikio ya punda atazidi kichwa na atakuja kushindikana kwenye ndoa.

Asante muhanga. Umenena vema sana! Wewe ni mmoja kati ya wana JF ambao ni nadra sana kupata ushauri wao, na pale unapopatikana, basi husheheni busara! Hapo kwenye bluu kwa kweli ni kero kubwa sana!
 
Asante muhanga. Umenena vema sana! Wewe ni mmoja kati ya wana JF ambao ni nadra sana kupata ushauri wao, na pale unapopatikana, basi husheheni busara! Hapo kwenye bluu kwa kweli ni kero kubwa sana!

thank you masaki. ukweli ni kero, tena hasa wanawake ndio tuna tabia hizo, natamani wangejua madhara yake wangeacha mara moja. wakati mwingine sie wenyewe huwa chanzo cha kuwafukuza waume nyumbani na wakishapotelea huko wanakopokelewa kwa bashasha tunaanza kulia na mto kitandani, wengine ndio kutafuta waganga na maombi ya mkesha... na hapo ndio huzidi kwenda 'chaka'
 
thank you masaki. ukweli ni kero, tena hasa wanawake ndio tuna tabia hizo, natamani wangejua madhara yake wangeacha mara moja. wakati mwingine sie wenyewe huwa chanzo cha kuwafukuza waume nyumbani na wakishapotelea huko wanakopokelewa kwa bashasha tunaanza kulia na mto kitandani, wengine ndio kutafuta waganga na maombi ya mkesha... na hapo ndio huzidi kwenda 'chaka'

Duh! Yaani matatizo unayatengeneza mwenyewe halafu unamsingizia ''shetani''! Ndio maana imeandikwa ''mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake mwenyewe''.
 
Duh! Yaani matatizo unayatengeneza mwenyewe halafu unamsingizia ''shetani''! Ndio maana imeandikwa ''mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake mwenyewe''.

na hapo Mungu hata ukimuomba ukiwa utupu hatajibu maombi yako!
 
Masaki hii inaweza kuwa kweli ila sio kwa wote so usigeneralize sema tu baadhi,na mi nafikiri kudeka ni hulka ya mtu.Mfano mie kwenye famikia yetu ni last born na huwezi jua hilo unless uambiwe and on the other side nina dada yangu anayenizidi 5 years anadeka kiasi unaezadhani ni last born.so it deep-ends
 
Masaki hii inaweza kuwa kweli ila sio kwa wote so usigeneralize sema tu baadhi,na mi nafikiri kudeka ni hulka ya mtu.Mfano mie kwenye famikia yetu ni last born na huwezi jua hilo unless uambiwe and on the other side nina dada yangu anayenizidi 5 years anadeka kiasi unaezadhani ni last born.so it deep-ends

Very well said daughter. Hapo nimekuelewa 100%
 
sio wote wako hivyo,mim ni wa mwisho kwetu lkn siko hivyo,wote tumefundishwa kujituma na kujitegemea.
mwanamke mvivu ni mvivu tu hata akiwa wa kwanza au wa mwisho.
 
Sidahani kama ina uhalisia kivile.....Kama ishu ni kudekezwa, then inaweza kuwa ni mtoto wa namba yoyote ile na sio lazima wa mwisho. What if ni familia ya watoto wawili tu (wote wasichana au wa kwanza msichana), au ni familia ya watoto kumi wote wa kiume isipokuwa mmoja wa kwanza ndio msichana!
Kimsingi naona ni kama vile unakubaliana na mtoa mada, zaidi wewe umeongeza ukubwa wa seti kwa kuonesha aina nyingine ya wasichana ambao wanaweza kuwa wamedekezwa. Ukimsoma vizuri mtoa utaelewa kuwa anajaribu kusema kuwa wasichana waliodekezwa hawafai kuolewa, kwa kweli sina hakika sana na hili, na japokuwa ni kweli kuwa kudekezwa inaweza kutokea kwa mtoto wa namba yeyote kama ulivyojaribu kuainisha hapo juu lakini ni ukweli usiopingika kuwa watoto wanaodekezwa sana ni wale wa mwisho mara nyingi. Kwa hiyo basi kama ni kweli kuoa msichana aliyedekezwa ni mzigo, you will be running a huge risk of getting one of that type kama utaoa msichana ambaye ni wa mwisho.

OFF TOPIC:
Kwa upande mwingine tunaweza kujadili kama inafaa kuoa msichana aliyedekezwa.
 
Back
Top Bottom