Mtoto wa mwisho hafai kuoa?

Mtoto wa kwanza na wamwisho ni yupi anae subiliwa kwa hamu?

Swali limekaa utam hilo. JIbu ni kwamba mtoto wa kwanza ndo ana uwezekano wa kudeka zaidi ya wa mwisho kwa kuwa wa kwanza wazazi wake wanakuwa na hamu sana na mtoto. HABARI NDO HIYO
 
Swali limekaa utam hilo. JIbu ni kwamba mtoto wa kwanza ndo ana uwezekano wa kudeka zaidi ya wa mwisho kwa kuwa wa kwanza wazazi wake wanakuwa na hamu sana na mtoto. HABARI NDO HIYO

Anadekezwa kwa muda tu. Akishakuja mwenzake hadekezwi tena.
 
Watoto wenyewe toka chekechea hadi chuo kikuu wako boarding, huko kudekezwa kunaingia wapi tena, au unazungumzia watoto wetu sisi wakulima, wanaosoma chekechea to shule za kata secondary school?
 
Watoto wenyewe toka chekechea hadi chuo kikuu wako boarding, huko kudekezwa kunaingia wapi tena, au unazungumzia watoto wetu sisi wakulima, wanaosoma chekechea to shule za kata secondary school?

Hao wanaosoma boarding tangu chekechea hata 0.5% ya watoto wote wa nchi hii hawafiki!
 
Hakuna uhalisia wa hilo, nimeshaona familia ambazo mtoto wa tatu au nne andekezwa sana na wa mwisho yupo tena wa kike!
Hebu tuambie kuhusu mtoto wa mwisho wa kiume tena pekee yaani wakubwa zake wote wa kike, huyo anafaa kuoa au!
 
Na wewe ni wa mwisho nini?
Ndo maana nakushangaa na finding zako za kizushi...tena bila aibu unaongezea “hawafai kuolewa“...kitakachofuata nini maana makabila na sura tayari then mnakuja na sijui mtoto wa ngapi..mara rangi ya ngovi...na mengineyo ya kijinga tu!!Mtu kudeka/dekezwa haijalishi ni mtoto wa ngapi....na hata kama kadekwezwa atakavyobehave huko mbeleni kunaweza kukawa tofauti kabisa na mwanzo...watu hua wanabadilika na mazingira.Hamna tofauti na wale wanaume ambao hata mkitaka kununua mashuka mpaka mama aulizwe yawe ya rangi gani...ila siwezi kuzunguka nikitangaza watoto wote wa kiume wa mwisho au wa pekee hivi ndivyo alivyo!!
 
Hakuna uhalisia wa hilo, nimeshaona familia ambazo mtoto wa tatu au nne andekezwa sana na wa mwisho yupo tena wa kike!
Hebu tuambie kuhusu mtoto wa mwisho wa kiume tena pekee yaani wakubwa zake wote wa kike, huyo anafaa kuoa au!

Wa kiume hana tatizo sana kwa kuwa mwanaume hategemei kwenda kudeka kwa mkewe. Ila kama alidekezwa sana pia anaweza kuwa mzigo wa kisaikolojia kwa mkewe. Anaweza kuwa mgumu katika kufanya maamuzi magumu yanayohusiana na ndoa yao na familia yao kwa ujumla.

Wewe hujawahi kukutana mtoto wa kiume ana miaka zaidi ya 30 lakini kila baada ya sentensi mbili utasikia anamtaja mama yake badala ya mkewe? Na kuna binamu yangu amewahi kumwacha mchumba wake wa kiume kwa tabia hizo za akili ya kitoto inayotokana na kudekezwa!
 
Ndo maana nakushangaa na finding zako za kizushi...tena bila aibu unaongezea "hawafai kuolewa"...kitakachofuata nini maana makabila na sura tayari then mnakuja na sijui mtoto wa ngapi..mara rangi ya ngovi...na mengineyo ya kijinga tu!!Mtu kudeka/dekezwa haijalishi ni mtoto wa ngapi....na hata kama kadekwezwa atakavyobehave huko mbeleni kunaweza kukawa tofauti kabisa na mwanzo...watu hua wanabadilika na mazingira.Hamna tofauti na wale wanaume ambao hata mkitaka kununua mashuka mpaka mama aulizwe yawe ya rangi gani...ila siwezi kuzunguka nikitangaza watoto wote wa kiume wa mwisho au wa pekee hivi ndivyo alivyo!!

Unaweza kuziita za kizushi lakini zina ukweli ndani yake. Kama umewahi kuwaona wanaume wanaouliza kwa mama zao mashuka yawe ya rangi gani pia hayo ni matokeo ya kudekezwa kupita kiasi. Matokeo yake mtu hawezi hata kufanya maamuzi kwenye mambo madogo madogo.

Ninachosema hapa, mtoto wa mwisho ana uwezekano mkubwa zaidi wa kudekezwa kuliko wengine na imekuwa hivyo tangu enzi na enzi!
 
Wa kiume hana tatizo sana kwa kuwa mwanaume hategemei kwenda kudeka kwa mkewe. Ila kama alidekezwa sana pia anaweza kuwa mzigo wa kisaikolojia kwa mkewe. Anaweza kuwa mgumu katika kufanya maamuzi magumu yanayohusiana na ndoa yao na familia yao kwa ujumla.

Wewe hujawahi kukutana mtoto wa kiume ana miaka zaidi ya 30 lakini kila baada ya sentensi mbili utasikia anamtaja mama yake badala ya mkewe? Na kuna binamu yangu amewahi kumwacha mchumba wake wa kiume kwa tabia hizo za akili ya kitoto inayotokana na kudekezwa!


Kumbeeeeeeeee!!!!!!!!!!!
 
Mama yangu wa mwisho, mke wa bro wa mwisho, wangu wa mwisho... Tuna enjoy life.. if you feel her Grab her. Hakuna wimbo wala kiitikio cha pamoja. kama utapata dudu au lulu hilo litakuwa lako tu na halihitaji selemala
 
Hakuna uhalisia wa hilo, nimeshaona familia ambazo mtoto wa tatu au nne andekezwa sana na wa mwisho yupo tena wa kike!
Hebu tuambie kuhusu mtoto wa mwisho wa kiume tena pekee yaani wakubwa zake wote wa kike, huyo anafaa kuoa au!


usemacho ni kweli... ila me naona mara nyingi wanaodeka ni yule anayejikuta ni jinsia pekee katika familia husika, mfano kama wamezaliwa wanaume 4 na mwanamke mmoja mala nginyi hudekezwa bila kujali yupo wa ngapi kuzaliwa, na wanaume hali kadhalika.
 
Jamani kuna hii theory kwamba msichana ambaye ni wa mwisho kuzaliwa nyumbani kwao mara nyingi huwa anakuwa amedekezwa sana kwa hiyo hafai kuolewa. Hafai kuolewa kwa sababu anategemea kuendelea kudekezwa kupita kiasi hata kwenye ndoa na kusahau kwamba mume si mama au baba yake.

Kama kuna mtu yeyote ana uzoefu na hili tafadhali, maana mwenzenu maji yako shingoni!

Okey
Kwa vile sio uchunguzi wako bali ni kama imani fulani basi uko sawa.
Yah, kwa familia nyingi nimeona MZIWANDA hudeka sana kama kuna watoto zaidi ya wawili waliozaliwa. Hii pengine naona inachangiwa na (labda) uzee wa wazazi ambapo hukosa ule usimamizi makin kwa mtoto kama ilivyokuwa kwa watoto waliotangulia.

Mi mdogo wangu wa mwisho ni binti wa miaka 19 now, na alikuwa anauelekeo wa kudeka sana hapo kabla. Ila kwa kushirikiana na mdogo wangu anaefuata, tumemkomaza mpaka sasa anapika chakula mwenyewe (alikuwa hapendi kabisaaaa kupika), na tumemuambukiza hata wivu wa kimaendeleo (alikuwa mvivu wa kusoma balaa, alikuwa ni mpenda maigizo ya kizungu kwenye TV).

Now am proud of her, She'll make a good wife to her husband.
 
Kama mvulana wa mwisho kwao pia haifa kumuoa mtu basi yamkini hii hoja itakubalika!

Lakini nadhani Masaki wote wanadekezwa hakuna cha wa mwisho wala wa kwanza, by the way huku kwetu uswazi sio kama masaki hadekezwi mtu hapa.
 
heheee!
Usiwaharibie soko jamani kama unataka kuoa kaoe cha msingi ni kuangalia tabia ya mtu na malezi
 
Back
Top Bottom