Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
Jamani kuna hii theory kwamba msichana ambaye ni wa mwisho kuzaliwa nyumbani kwao mara nyingi huwa anakuwa amedekezwa sana kwa hiyo hafai kuolewa. Hafai kuolewa kwa sababu anategemea kuendelea kudekezwa kupita kiasi hata kwenye ndoa na kusahau kwamba mume si mama au baba yake.
Kama kuna mtu yeyote ana uzoefu na hili tafadhali, maana mwenzenu maji yako shingoni!
Kama kuna mtu yeyote ana uzoefu na hili tafadhali, maana mwenzenu maji yako shingoni!