Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Nyie wazazi,jamani embu badilikeni kidogo mbona hivi
yaani damu zenu sikuzote zilikuwa wapi mpaka mmeanza kuparamia watoto
wa wenzio...leo hii unamkuta mzee mtu mzima akiwa na katoto kadogo
jamani hembu fikirieni na nyie watoto wenu waanzwe kufanywa na watu wzima mnajisikiaje???hivi ni hamu ni matatizo ya familia ama??kwa nini msifwate majimama walioachika ama wenye matatizo ya familia wanaotafuta mabwana....jamani waachieni vijana wenu damu zao zichanganyike ..sasa wewe mzee unakimbizana na damu changa matokeo yake unakufa na shinikizo la damu huku mama ama mkewe ajui source..,tuache akili za kusema mtoto wa mwenzio mwenzio..jamani embu waangalieni na hao vijana imagine huu ugonjwa wa ukimwi utawamaliza wangapi kwa style hii.....???ambu angali watoto wangapi wanavijiboyfriend huku wanavizee vinapunguza matatizo yao.... nanyi madada zetu jamani tunajua kuna shida duniani embu zikimbizie kwa vijana wenzako basi jamani????mtawaua vijana wenzenu kwa hali hii...maana najua ile mizee inaflow kavu...haya jamani mwenye macho ambiwi tazama....
yaani damu zenu sikuzote zilikuwa wapi mpaka mmeanza kuparamia watoto
wa wenzio...leo hii unamkuta mzee mtu mzima akiwa na katoto kadogo
jamani hembu fikirieni na nyie watoto wenu waanzwe kufanywa na watu wzima mnajisikiaje???hivi ni hamu ni matatizo ya familia ama??kwa nini msifwate majimama walioachika ama wenye matatizo ya familia wanaotafuta mabwana....jamani waachieni vijana wenu damu zao zichanganyike ..sasa wewe mzee unakimbizana na damu changa matokeo yake unakufa na shinikizo la damu huku mama ama mkewe ajui source..,tuache akili za kusema mtoto wa mwenzio mwenzio..jamani embu waangalieni na hao vijana imagine huu ugonjwa wa ukimwi utawamaliza wangapi kwa style hii.....???ambu angali watoto wangapi wanavijiboyfriend huku wanavizee vinapunguza matatizo yao.... nanyi madada zetu jamani tunajua kuna shida duniani embu zikimbizie kwa vijana wenzako basi jamani????mtawaua vijana wenzenu kwa hali hii...maana najua ile mizee inaflow kavu...haya jamani mwenye macho ambiwi tazama....