Again umeniboa na leo tena
nafikiri uimalizie kesho na details zote
ili usiniboe tena
Mke wangu ana akili kiasi kuwa hawezi kudanganywa na kijana tapeli simply because baba yake ni waziri!! Inaelekea wewe ulishushuka zaidi na cheo cha baba yake na ukadhani huyo kijana anaweza kukutoa kwakutumia cheo cha baba yake kumbe ndio kakuingiza mjini na sasa unalia!!
Ok congratulation.