Wanajamvi nina mtoto wa miaka kumi na ninataka kufungua private company,je wanahisa tunaweza kuwa mimi na yeye tu? Au ni lazima niwe na mtu mzima? na je kama inawezekana kwa sisi wawili yaani mimi na mtoto wangu ninatakiwa nifanyeje na inakuwaje taratibu zake? Naombeni msaada wenu tafadhali