Mtoto wa Miaka 10 Afariki Kishujaa Akimuokoa Mama Yake

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,080
Mtoto wa Miaka 10 Afariki Kishujaa Akimuokoa Mama Yake
3722006.jpg

Friday, December 11, 2009 12:22 AM
Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 10 wa nchini Kenya amefariki dunia akipambana na fisi aliyemjeruhi vibaya mama yake. Mtoto wa Kikenya mwenye umri wa miaka 10 amefariki dunia kutokana na majeraha aliyopata baada ya kupambana na fisi aliyekuwa akimshambulia mama yake.

Fisi huyo alilipasua taya la mtoto Samatwa Kishibili pamoja na kukinyofoa kidole chake kimoja.

Mama yake Samatwa alijeruhiwa mikononi, kichwani na mgongoni katika tukio hilo lililotokea jumanne jioni katika maeneo ya ufukwe wa ziwa Naivasha katika ukanda wa Rift Valley.

Mama na mwanae walipoteza damu nyingi sana na ilibidi wawahishwe hospitali kwa matibabu lakini mtoto wake alifariki.

Taarifa iliyotolewa ilisema kuwa mama wa mtoto huyo alishambuliwa na fisi aliyekuwa akimfukuza asiwashambulie kondoo wake na ndipo mtoto wake alipoingilia kati kumuokoa.

Hata hivyo pamoja na kifo cha mtoto huyo, maafisa wa idara ya wanyamapori wa Kenya walisema kuwa familia ya mtoto huyo haitalipwa fidia yoyote kwakuwa walikuwa wakiishi kinyume cha sheria katika maeneo hayo.

"Haya ni maeneo yanayolindwa kwaajili ya wanyama, watu wanaojenga ndani ya maeneo haya wanavunja sheria", alisema afisa mmoja wa wanyama pori.
http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsId=3722006&&Cat=2
 
By Ferdinand Mwongela
The mud and wattle hut stands wobbly, with stones piled to hold together the polythene sheets that serve as its roof.
It seems solid enough to keep its dwellers out of harm’s way – at least from the vagaries of nature.
But natural elements in Kajiado district include wild animals, which locals have learned to tolerate, in spite of their constant, and at times, threatening menace.
That was what the John Keroket Lengiok household believed, until last April when, in the dead of night, they were roused from sleep by piercing screams from one of the huts.
It was a hyena’s howl but this was no cause for alarm as they were accustomed to them. The worst it could do was to attack the livestock. Or so they thought.
nh081201_02.jpg
A close-up of the injuries.
The family dogs barked at the intruder, and for a while, everything was quiet. Unknown to them, the hyena had skirted around the sheds holding cows and goats and sidled up to one of the houses and quietly found a way through the thorny braches forming the fence.

The events of that night changed the course of the large family of 18 children and three wives.
Seven year-old John Sangiti was sleeping with two of his siblings when the hyena broke through the cordon of thorns and thistles thrown around the entrance. The eldest boy tried to ward it off but soon saw that this was a losing battle and sought refuge in the rafters.
The second child boy chose to hide in a corner while Sangiti was grabbed by the head, the beast sinking its strong teeth into his skull while dragging him out of bed.
It was 2am, and Sangiti’s mother had gone to her co-wife’s manyatta to help her deliver a baby, which went well with the birth of baby girl Sintoiya.
Sangiti’s father, Lengiok, responded immediately, armed with a spear and a sword. The low roof of the huts prevented him from using the spear but he managed to pin the animal to the wall with his spear while hacking it with the sword.
nh081201_01.jpg
Ndicho Lengiok outside the manyatta where Sangiti was attacked by hyena. Photos: Jenipher Wachie/Standard

He finally managed to kill the hyena but not before it bit him on the hand. Together with his son, Lengiok would start the endless trips to the hospital, first at the Kajiado district hospital and later the Kenyatta National Hospital.
Two months later, Lengiok succumbed to his injuries, the arm having rotted away from an infection from the hyena’s bite.
"We have been left with a lot of work," laments Ndusho Parteyi, Lengiok’s brother now the serving as Sangiti’s guardian.
Sangiti bounced back to health after many hospital visits, although doctors were initially very sceptical about his chances of survival.
The youngster looks quite healthy, until he lifts the hat covering his head. The boy’s scalp is yet to grow back after being peeled off by the hyena.
He requires reconstructive surgery that costs between Sh200,000 and Sh300,000 that the family cannot afford.
The family says that the Kenya Wildlife Service rangers visited the homestead and burnt the carcass of the hyena but did not talk about compensation.
Sangiti, who was in Class Two has since dropped out of school, as the family fears his delicate head could get injured easily, or expose him to infections.
 
Nilifikili ni habari ya hivi punde,hapa lazima Tundu Lissu angekua amehusika tu kwa kweli maana hakuna namna bcoz yupo Kenya!
 
Sema bhn kiukweli bola umuache mama aende ye atleast kala kala maisha asa dogo ndo kwaaanza mvua kumi
 
Mtoto wa Miaka 10 Afariki Kishujaa Akimuokoa Mama Yake
3722006.jpg

Friday, December 11, 2009 12:22 AM
Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 10 wa nchini Kenya amefariki dunia akipambana na fisi aliyemjeruhi vibaya mama yake. Mtoto wa Kikenya mwenye umri wa miaka 10 amefariki dunia kutokana na majeraha aliyopata baada ya kupambana na fisi aliyekuwa akimshambulia mama yake.

Fisi huyo alilipasua taya la mtoto Samatwa Kishibili pamoja na kukinyofoa kidole chake kimoja.

Mama yake Samatwa alijeruhiwa mikononi, kichwani na mgongoni katika tukio hilo lililotokea jumanne jioni katika maeneo ya ufukwe wa ziwa Naivasha katika ukanda wa Rift Valley.

Mama na mwanae walipoteza damu nyingi sana na ilibidi wawahishwe hospitali kwa matibabu lakini mtoto wake alifariki.

Taarifa iliyotolewa ilisema kuwa mama wa mtoto huyo alishambuliwa na fisi aliyekuwa akimfukuza asiwashambulie kondoo wake na ndipo mtoto wake alipoingilia kati kumuokoa.

Hata hivyo pamoja na kifo cha mtoto huyo, maafisa wa idara ya wanyamapori wa Kenya walisema kuwa familia ya mtoto huyo haitalipwa fidia yoyote kwakuwa walikuwa wakiishi kinyume cha sheria katika maeneo hayo.

"Haya ni maeneo yanayolindwa kwaajili ya wanyama, watu wanaojenga ndani ya maeneo haya wanavunja sheria", alisema afisa mmoja wa wanyama pori.
Mtoto wa Miaka 10 Afariki Kishujaa Akimuokoa Mama Yake
Duuuh...R I P.....Kafa kiume sana tutamkuta mbele ya haki
 
Back
Top Bottom