Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
jamani mnajua kama Membe ni mmakonde. Mtageuzwa Simba. mimi simoooo....joke.
Upimwe uwezo wake wa kazi na sio jina la familia yake.
Mimi nilipata bahati miaka ya mwishoni mwa 80's kufanya kazi kwa karibu kabisa na Mh Membe. Naweza sema ni mmoja wa vichwa ambavyo JK anaweza kujivunia.
Upimwe uwezo wake wa kazi na sio jina la familia yake.
Mimi nilipata bahati miaka ya mwishoni mwa 80's kufanya kazi kwa karibu kabisa na Mh Membe. Naweza sema ni mmoja wa vichwa ambavyo JK anaweza kujivunia.