MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
Dogo anaakili sana. Yeye hataki kukariri ya wakoloni, ndo maana mwandiko safi, angekuwa kilaza asingekuwa na mwandiko safi hivo. Ukimwacha hapo, atakuwa Newton wa Tz.
Mpe hongera, ile 0/10 ni ya mwalimu wake kilaza anayefundisha mtoto mwenye kipaji na kufikiri kivingine.
Mpe hongera, ile 0/10 ni ya mwalimu wake kilaza anayefundisha mtoto mwenye kipaji na kufikiri kivingine.