Kuna dada mmoja alizaa na mchina, baada ya miezi tatu, mtoto akafariki ghafla. Basi maziko yakaandaliwa . Mama akawa analia kwa uchungu sana, huku akitamka nilijua tu jamani mie! Wamama wakamtuliza wakamuuliza ni nini kwani? Akajibu nilijua vitu vya mchina havidumu.