King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,601
Source:ATN -UCHAMBUZI WA MAGAZETI by Kelvin Motto
Nzowa asema hii haijawahi kutokea katika historia,ni kilo 209
Nzowa asema hii haijawahi kutokea katika historia,ni kilo 209
hakupeleka mgawo nini...
Source: Nipashe/Mwananchi.
Ana miaka 21 tu, ameshikwa na heroin kilo 200 zenye thamani ya Shilingi bilioni 9. Amekamatwa huko Lindi jana. Kwa mujibu wa polisi kitengo cha madawa, hii imevunja rekodi tangu kitengo hicho kilipoanzishwa mwaka 1990. Kama binti wa Liyumba ni dealer, vp baba yake? Vp na wengine?
Source: Nipashe/Mwananchi.