Mtoto wa kike huitwa "BINTI" wa kiume anaitwaje?

Umenikumbusha bushi loya mmoja alikuwa anadhani s/o kwenye document za kisheria ni urembo tu kaandika HADIJA s/o BAKARI
 
Naomba kuondolewa ujinga, nimeulizwa na mtoto mdogo anayesoma darasa la tatu nimeshindwa kumjibu na kuishia
kumpigia stori nyingine ili asahau swali lake, lakini kamekomaa kila muda kananikumbusha.....sijui nani amekatuma!! Msaada tafadhali...

Mkoba kutoka a standard swahili - english dictionary:

- Bin, * n. son (of) (Ar. for common mwana)

- Binti, * n. ma - daughter, young lady, when followed by the father's name without preposition forms the usual designation for all women.

on the other hand:
- bini, * v. forge, counterfeit. Mbini, wa- forger. Ubini, n. act (method, & c.) of forging, forgery.
 
Bin na Bint ni Maneno ambayo yamekopwa (tohoalewa) kutoka katika lugha yakiarabu ni kweli kabisa hayo maneno sio ya kiswahili kabisa.
kwa wale mnaotoa jibu la BIN je katika Kiswahili kuna maneno yasioishia na a,e,i,o,u?
 
Na kwa Kiarabu maana yake ni hiyo hiyo.... Ni matumizi tu.
Hapana mkuu hapa umetuburuza,waarabu wanatumia BINTI kwa mwanamke yeyote ambaye hajaolewa,msinielewa vibaya mimi nilifanya kazi na mama mmoja wa ki-Lebanon umri wake ulikuwa mkubwa wakuweza kuwa hata bibi lakini alikuwa ni binti,ni pia kulikuwa msichana ambaye pia alikuwa hajaolewa,walikuwa wakimchukulia kuwa ni binti...kwa lugha nyingine wanachukulia binti ni mwanamke bikira hivyo kutomuita binti mwanamke ambaye hajaolewa ni kama umemdharau
 
Hapana mkuu hapa umetuburuza,waarabu wanatumia BINTI kwa mwanamke yeyote ambaye hajaolewa,msinielewa vibaya mimi nilifanya kazi na mama mmoja wa ki-Lebanon umri wake ulikuwa mkubwa wakuweza kuwa hata bibi lakini alikuwa ni binti,ni pia kulikuwa msichana ambaye pia alikuwa hajaolewa,walikuwa wakimchukulia kuwa ni binti...kwa lugha nyingine wanachukulia binti ni mwanamke bikira hivyo kutomuita binti mwanamke ambaye hajaolewa ni kama umemdharau
Mkuu, unaweza kumwita mwanamke yeyote Bint, ila unapaswa umalizie na jina la baba yake. Na mara nyingi watu wazima uwaita wanawake waliowapita umri kwa namna hiyo.

Vile vile wazee wengi wa kike uitwa kwa nama hiyo, Bint likifuatia jina la baba yake, na si lazima hawe bikra.

Mimi binafsi nimeshuhudia wazee wanawake wengi wakiitwa kwa majina ya baba zao kwa namna hii: Bint Matola (Utasikia wakitamka: Bit Matola).

Na si kweli bint lazima hawe bikra ndio aitwe kwa jina la bint... haweza kuwa kesha olewa na akaendelea kuitwa bint fulani.
 
Mkuu, unaweza kumwita mwanamke yeyote Bint, ila unapaswa umalizie na jina la baba yake. Na mara nyingi watu wazima uwaita wanawake waliowapita umri kwa namna hiyo.

Vile vile wazee wengi wa kike uitwa kwa nama hiyo, Bint likifuatia jina la baba yake, na si lazima hawe bikra.

Mimi binafsi nimeshuhudia wazee wanawake wengi wakiitwa kwa majina ya baba zao kwa namna hii: Bint Matola (Utasikia wakitamka: Bit Matola).

Na si kweli bint lazima hawe bikra ndio aitwe kwa jina la bint... haweza kuwa kesha olewa na akaendelea kuitwa bint fulani.
Hapa nimejibu ile hoja kuwa kwa "waarabu ni hivyo hivyo ni matumizi tu" narudia tena nilivyo eleza ndio sahihi kuwa waarabu binti ni UBIKIRA,lakini sisi tumechakachua hivyo maana tuichukulie vile tunavyotumia sisi lakini wenye neno lao asili maana ni hiyo.
 
Naomba kuondolewa ujinga, nimeulizwa na mtoto mdogo anayesoma darasa la tatu nimeshindwa kumjibu na kuishia kumpigia stori nyingine ili asahau swali lake, lakini kamekomaa kila muda kananikumbusha.....sijui nani amekatuma!! Msaada tafadhali...



mtoto wa kiume anaitwa NJEMBA
 
Hapa nimejibu ile hoja kuwa kwa "waarabu ni hivyo hivyo ni matumizi tu" narudia tena nilivyo eleza ndio sahihi kuwa waarabu binti ni UBIKIRA,lakini sisi tumechakachua hivyo maana tuichukulie vile tunavyotumia sisi lakini wenye neno lao asili maana ni hiyo.
Kaka kuweka herufi kubwa na rangi nyingi nyingi, haimaanishi kuwa upo sahihi.

Binti haimaanishi kuwa huyo msichana ni bikra... Msichana Bikra anaitwa Batul, na ukitaka kumwita utamwita: عذراء Hadhrat* Fulani Bint Fulani.

*Angalizo: Mara nyingi ili neno Hadhrat, utumika kwa kuwaita watu kwa heshima.

NB:
Soma vizuri post yako namba #48 kuhusu yule bibi na msichana.
 
kila lugha ina utamaduni wake so waswahili wana utamaduni wao..

so mfano mtoto wa kike ataitwa binti abdallah
ina maana ni msichana ambae baba yake ni abdalah

na mvulana ataitwa bin adballah.....

so ndo maana waarabu bado still wanatumia

utasikia bin sleyum
au bin bahdelaah n.k

muafaka mkuu.....

niongeze mifano kwa upande wa wanawake utasikia:
1. Sitti bint Saad
2. naima bint ally
 
Naomba kuondolewa ujinga, nimeulizwa na mtoto mdogo anayesoma darasa la tatu nimeshindwa kumjibu na kuishia kumpigia stori nyingine ili asahau swali lake, lakini kamekomaa kila muda kananikumbusha.....sijui nani amekatuma!! Msaada tafadhali...
NGOJA NIGUGO KWANZA
 
Haitwi bin,nawalahakuna maana yoyote ya bin kama bin isipokuwa kama unaeleza mtoto wa kike baba yake ni nani (mfano asha bin abdalah)

Mtoto wa kiume in MWANA..... ukisikia mwana mfalme jua huyo ni mtoto wa kiume wa mfalme.

Nadhani utakajibu katoto kakalale!
.
Uko sahihi.
Wa kike ni binti, wa kiume ni "mwana"
Kwa kiingereza ni daughter and son

Sent using Jamii Forums mobile app
 
usilete ubishani wa kijinga
na mwana hamisi je
mwana iddi?????????

usichanganye bara na pwani
hizi culture tofaouti
.
Acha hizo tofautisha jila la utambulisho na jina la sifa(tittle).
Huna tofauti na mtu kuambiwa kwamba "baba" ni jina la sifa la mzazi wa kime kwa mtoto, ukakataa kwa hoja ya "babayaro" je. Mbona ni jina la utambulisho?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom