Haitwi bin,nawalahakuna maana yoyote ya bin kama bin isipokuwa kama unaeleza mtoto wa kike baba yake ni nani (mfano asha bin abdalah)
Mtoto wa kiume in MWANA..... ukisikia mwana mfalme jua huyo ni mtoto wa kiume wa mfalme.
Nadhani utakajibu katoto kakalale!
Haitwi bin,nawalahakuna maana yoyote ya bin kama bin isipokuwa kama unaeleza mtoto wa kike baba yake ni nani (mfano asha bin abdalah)
Mtoto wa kiume in MWANA..... ukisikia mwana mfalme jua huyo ni mtoto wa kiume wa mfalme.
Nadhani utakajibu katoto kakalale!
Hakuna mtu anayeitwa Mwana Hamisi ila "Mwanahamisi" wala Mwana Idd ila "Mwanaidi" i.e no space, neither is there, two capital letters.Sawa mazee, tusidanganyane, hapa hakuna cha upwani wala ubara, what matters is the truth, okay ?usilete ubishani wa kijingana mwana hamisi jemwana iddi?????????usichanganye bara na pwanihizi culture tofaouti
Naomba kuondolewa ujinga, nimeulizwa na mtoto mdogo anayesoma darasa la tatu nimeshindwa kumjibu na kuishia kumpigia stori nyingine ili asahau swali lake, lakini kamekomaa kila muda kananikumbusha.....sijui nani amekatuma!! Msaada tafadhali...
Katavi chukuwa ili jibuBint, Mtoto wa .... (Daughter of...)Bin, Mtoto wa ... (Son of...)