Mungu tusaidie
Sasa mkuu inakuwaje waislam kwa waislam,tutaona watakavyotoana macho hapo,ila marufuku kuchoma makanisa safari wachome misikiti
weka picha tunapoelekea watu wataunyea sasa.tatizo dhahania ya kugeuka mjusi dogo kaiprove wrong.
Lina ukweli wowote lakini hili?