Tanzania Mpya
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 253
- 144
Wapo radio wasema kuna mtoto huko Pemba kakojolea msaafu na akamvesha mbwa tasbihi shingoni!
Nimesikiliza Radio wapo asubuhi hii kuna habari zinasema kuna kijana amekojolea kurani na sasa polisi wanamshikilia, kuepika hasira za jamii iliyomzunguka.
Hali ya hofu imetanda baada ya Mtoto aliyetambuliwa kwa jina la Ali Mohamed Ali kukojolea Msahafu maeneo ya Mkanyageni Zanzibar.
Hali imekuwa ya hofu zaidi kutokana na waumini wa dini ya kiislamu kuchukizwa zaidi na tukio hilo na sasa wanataka kuvamia makanisa ya zanzibar!
Ulinzi umezidi kuimarishwa kwakuongeza idadi ya makomandoo na wanausalama zaidi!
Nazaidi kundi la UAMSHO jana limefutiwa usajili wake.
Nitawajuza zaidi kitakachojiri
Kijana wa kiislam aliyejulikana kwa jina moja la Farid amefikishwa mahakamani baada ya kukojolea quran na kumvisha paka tasbihi.
Source: Wapo Radio