andrewk
JF-Expert Member
- Apr 13, 2010
- 3,102
- 488
Huoni imekuvutia hata wewe kusoma?
Kwa hiyo sisi tufanyaje sasa?maana anataja tu anataja tu hata hasemi ni nini cha kufanya,mwambie aweke wazi halafu pia atuambie na sisi wananchi inatufaidisha nini hiyo habari isije ikawa kama ya zito kabwe alikuwa anatishia kuwa atawataja wenye pesa uswisi ilhali kumbe na yeye ana pesa huko..aache mambo ya kuwafanya wananchi hawana akili huyo dokta slaa,hata kama nashabikia chama ila ktk udhaifu lazima kusema ili waweze kuwa vizuri zaidi