Guma Mlugaluga
Member
- Aug 20, 2008
- 98
- 7
hata mimi nina wasiwasi sana na huyu jamaa
Elinino wala usiwe na wasiwasi na mimi, ogopa vya watu! Utaniua bure!
hata mimi nina wasiwasi sana na huyu jamaa
hata mimi nina wasiwasi sana na huyu jamaa
Jamaa ameshikia bango kabisa, mpaka basi. Labda alishawahi kuumwa na nyoka ati.
Sijawahi kaka, ila nadhani wewe ni mmoja wao, sasa inakuuma kuona mwenzio kakamatwa. Kuna usemi usemao "kibaka huzikwa na vibaka wenzie"! Tehetehetehe
Wamesema mwanamume alikamata simu ya mkewe na kuwasiliana na huyo jamaa. Hivyo sio kusema hilo ni dili na mkewe. Mkewe ni mwasherati na yeye badala ya kufata maandiko "mtu asimwache mke ila kwa sababu ya uzinzi" yeye akaona alawiti. KOSA KWA KOSA.Chakaza, wanawake wengi sana wanaisigina amri ya 6 na hawasitukiwi na mtu. Hapo ujue yule mwanamke alikuwa hamtaki jamaa, akamweleza mmewe, wakalitegea *****, wakalifanyizia. Siku hizi ni dili, hasa mjini. Yule sio ujanja wa mwanamme bali mke na mme wamemfanyizia.
Sawasawa kabisa, iendelee hii tamu. Ukila, unaliwa!
Si unyama kaka, kula cha mtu ni Kifo. we hujui watu husema Kucheza na mke wa mtu ni sawa na kucheza na moto.? na mara nyingi watu hawa huonywa almost 3 times, ya nne mzee yanakufika maswahibu kama haya.
Huyu jamaa bora asingeriport police maana yake siri imefichuka kwamba kavunjiwa duka na watu zaidi ya 5, aibu tupu bora angekauka akajitibia akapona yakaisha.
Kitendo cha kutembea na mke wa mtu ni kibaya sana. Inauma sana. Ila mke pia atakuwa mwenye makosa. Maana jamaa atakuwa alikubaliana na huyo mke. Wanawake wengi siku hizi hawajatulia kabisa.Mkuu Abdulhalim, naona hujaoa wewe. Kama unaye mke, hebu fikiria, ashakum si matusi, jamaa linahemea mkeo shingoni, utajisikiaje? Halafu mkeo anatoa ushirikiano wa kutosha! Duh! Basi acha sheria ichukue mkondo, lakini mkondo unaweza kuelekezwa kwa mlawitiwa vile vile, tehetehetehetehetehe.
Mkuu bado najiuliza, sijui alikata na mauno! au aligangamala!
HIvi topic hii nayo ni SIASA?
Hii ndiyo dawa ya mipakashume,wao wake za watu tu. Me mwenyewe nikigundua mke wangu analiwa,lazima jamaa naye liwe,nitamkodia masela wamle tena nachukua na video,akisema tu na release video.
Maana watu wamezidi kuhemea wake za watu.
..Wa kulaumiwa hapa ni mwenye mke...Huenda alikuwa hamtoshelezi mkewe mpaka anafikia hatua ya kwenda kumegwa nje so hata yeye asilalamike kwanza alichofanya ni jambo la kishenzi kwani mke kama anajua ana mume kwa nini alikubali kwenda kumegwa nje?? Wawafunge tu na walawiti wengine...Wakuu, huyu kala vya wenzake, naye vyake vimeliwa, kosa gani la kuwapeleka mahakamani? Jamani, hebu tumuonee huruma na huyu jamaa aliyekuwa anaibiwa, yaani basi tu. Inauma sana. Aliye...tiwa simuhurumii, mbona wasichana wapo wengi sana, kwani lazima mke wa mtu?
..Wa kulaumiwa hapa ni mwenye mke...Huenda alikuwa hamtoshelezi mkewe mpaka anafikia hatua ya kwenda kumegwa nje so hata yeye asilalamike kwanza alichofanya ni jambo la kishenzi kwani mke kama anajua ana mume kwa nini alikubali kwenda kumegwa nje?? Wawafunge tu na walawiti wengine...
Ajabu.Labda baba wa huyu mtuhumiwa ni mwanasiasa pia.
huyu mtoto wa kigogo si mtoto wa mwanasiasa ila ni mtoto wa mzee mmoja maarufu hapo moshi na ana hoteli hapo mjini jina la huyo mtoto anaitwa michael kimambo na baba yake ana hotel inaitwa rombo cottage