Mtoto wa kichina

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
3,811
1,603
Mtoto mmoja wa kichina, Yu U. Chi, alihamia Marekani na wazazi wake . Siku ya kwanza ya darasa, baada ya mwalimu kumtamblisha akasema.
Leo tujikumbushe kidogo historia ya Marekani. Nani alitamka 'serikali ya watu kwa ajili ya watu'?"
Watoto wote kimyaaa! Baada ya muda Chi akajibu:
"Abraham Lincoln, mwaka 1863"

Nzuri saana Chi! Nyinyi hamuoni aibu kuwa mgeni kaja siku moja tu anajua kuliko nyinyi wazaliwa? alisema mwalimu huku wanafunzi wakizungumza chini kwa chini. Mmoja akanong'ona, "Hii michina bwana!"
Mwalimu kusika akauliza:
Nani kasema hivyo?
Chi akajibu:
"General MacAthur, 1942".
Wanafunzi wakiwa wamekerwa na ujuwaji wa Chi, mmoja akamlembea kitu kizito, akaanguka na kuzimia.

Mwalimu akamwangalia mwanafunzi mtundu kuliko wote kwa jicho la shutuma kuwa yeye ndie alomlembea Chi. Yule mwanafunzi kwa kujitetea akasema:
"Mmi sihusiki"
Chi akiwa ndio kwanza anapata fahamu, akanyanyuka na kujibu:
"Kikwete, tarehe 5 February 2011 alipokuwa anajitetea kuhusu Dowans"
 
umejichanganya anza upya Chi Suzuki,kaanguka ,kitu kizito,kapata fahamu etc

Utumbo
 
Mtoto mmoja wa kichina, Yu U. Chi, alihamia Marekani na wazazi wake . Siku ya kwanza ya darasa, baada ya mwalimu kumtamblisha akasema.
Leo tujikumbushe kidogo historia ya Marekani. Nani alitamka 'serikali ya watu kwa ajili ya watu'?"
Watoto wote kimyaaa! Baada ya muda Suzuki akajibu:
"Abraham Lincoln, mwaka 1863"

Nzuri saana Chi! Nyinyi hamuoni aibu kuwa mgeni kaja siku moja tu anajua kuliko nyinyi wazaliwa? alisema mwalimu huku wanafunzi wakizungumza chini kwa chini. Mmoja akanong'ona, "Hii michina bwana!"
Mwalimu kusika akauliza:
Nani kasema hivyo?
Chi akajibu:
"General MacAthur, 1942".
Wanafunzi wakiwa wamekerwa na ujuwaji wa Chi, mmoja akamlembea kitu kizito, akaanguka na kuzimia.

Mwalimu kuona vile ma mwanafunzi mtundu kuliko wote kwa jicho la shutuma. Yule mwanafunzi kwa kujitetea akasema:
"Mmi sihusiki"
Chi akiwa ndio kwanza anapata fahamu, akanyanyuka na kujibu:
"Kikwete, tarehe 5 February 2011 alipokuwa anajitetea kuhusu Dowans"
hivi hayo majina ya chi. na suzuki yamekaaje ama ndio tafsiri yake?
 
Mtoto mmoja wa kichina, Yu U. Chi, alihamia Marekani na wazazi wake . Siku ya kwanza ya darasa, baada ya mwalimu kumtamblisha akasema.
Leo tujikumbushe kidogo historia ya Marekani. Nani alitamka 'serikali ya watu kwa ajili ya watu'?"
Watoto wote kimyaaa! Baada ya muda Chi akajibu:
"Abraham Lincoln, mwaka 1863"

Nzuri saana Chi! Nyinyi hamuoni aibu kuwa mgeni kaja siku moja tu anajua kuliko nyinyi wazaliwa? alisema mwalimu huku wanafunzi wakizungumza chini kwa chini. Mmoja akanong'ona, "Hii michina bwana!"
Mwalimu kusika akauliza:
Nani kasema hivyo?
Chi akajibu:
"General MacAthur, 1942".
Wanafunzi wakiwa wamekerwa na ujuwaji wa Chi, mmoja akamlembea kitu kizito, akaanguka na kuzimia.

Mwalimu kuona vile ma mwanafunzi mtundu kuliko wote kwa jicho la shutuma. Yule mwanafunzi kwa kujitetea akasema:
"Mmi sihusiki"
Chi akiwa ndio kwanza anapata fahamu, akanyanyuka na kujibu:
"Kikwete, tarehe 5 February 2011 alipokuwa anajitetea kuhusu Dowans"
Naomba nikushukuru kwasababu umefanikiwa kufikisha ujumbe kwa adhira na binafsi nimecheka kwa kiwango cha kuhitaji 1lt ya juice ya ukwaju ngoja nikaisake kwanza teheteheteheteheee!!
 
The main theme is "who said "this*"?
*Serikali ya watu...Lincoln 1832 wakati wa kutangaza demokrasia
*hii Michina...General MacArthur 1942 wa World War II
* Mimi sihusiki... Kikwete na Dowans 2011
 
Back
Top Bottom