MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Mtoto mmoja wa kichina, Yu U. Chi, alihamia Marekani na wazazi wake . Siku ya kwanza ya darasa, baada ya mwalimu kumtamblisha akasema.
Leo tujikumbushe kidogo historia ya Marekani. Nani alitamka 'serikali ya watu kwa ajili ya watu'?"
Watoto wote kimyaaa! Baada ya muda Chi akajibu:
"Abraham Lincoln, mwaka 1863"
Nzuri saana Chi! Nyinyi hamuoni aibu kuwa mgeni kaja siku moja tu anajua kuliko nyinyi wazaliwa? alisema mwalimu huku wanafunzi wakizungumza chini kwa chini. Mmoja akanong'ona, "Hii michina bwana!"
Mwalimu kusika akauliza:
Nani kasema hivyo?
Chi akajibu:
"General MacAthur, 1942".
Wanafunzi wakiwa wamekerwa na ujuwaji wa Chi, mmoja akamlembea kitu kizito, akaanguka na kuzimia.
Mwalimu akamwangalia mwanafunzi mtundu kuliko wote kwa jicho la shutuma kuwa yeye ndie alomlembea Chi. Yule mwanafunzi kwa kujitetea akasema:
"Mmi sihusiki"
Chi akiwa ndio kwanza anapata fahamu, akanyanyuka na kujibu:
"Kikwete, tarehe 5 February 2011 alipokuwa anajitetea kuhusu Dowans"
Leo tujikumbushe kidogo historia ya Marekani. Nani alitamka 'serikali ya watu kwa ajili ya watu'?"
Watoto wote kimyaaa! Baada ya muda Chi akajibu:
"Abraham Lincoln, mwaka 1863"
Nzuri saana Chi! Nyinyi hamuoni aibu kuwa mgeni kaja siku moja tu anajua kuliko nyinyi wazaliwa? alisema mwalimu huku wanafunzi wakizungumza chini kwa chini. Mmoja akanong'ona, "Hii michina bwana!"
Mwalimu kusika akauliza:
Nani kasema hivyo?
Chi akajibu:
"General MacAthur, 1942".
Wanafunzi wakiwa wamekerwa na ujuwaji wa Chi, mmoja akamlembea kitu kizito, akaanguka na kuzimia.
Mwalimu akamwangalia mwanafunzi mtundu kuliko wote kwa jicho la shutuma kuwa yeye ndie alomlembea Chi. Yule mwanafunzi kwa kujitetea akasema:
"Mmi sihusiki"
Chi akiwa ndio kwanza anapata fahamu, akanyanyuka na kujibu:
"Kikwete, tarehe 5 February 2011 alipokuwa anajitetea kuhusu Dowans"