Mtoto wa kapuya na mauaji ya mwanafunzi Tabora: Ukweli ni upi?
Nimesoma habari hii kwenye magazeti tando na kukuta maelezo tata kuhusu hili suala. Is there anyone to shed some lights? Nachelea kusema isje ikawa kama mambo ya mtoto wa Yule katibu mkuu kiongozi [mstaafu]. Hii issue imekaa kimashakamashaka.
Wapo wanaosema mlinzi ndo aliyefanya hicho kitendo na wengine wanasema ni kijana wa waziri Kapuya
Source: http://www.bongoyetu.com/component/...liwa-mwanawe-chupuchupu.html?directory=300126
Nimesoma habari hii kwenye magazeti tando na kukuta maelezo tata kuhusu hili suala. Is there anyone to shed some lights? Nachelea kusema isje ikawa kama mambo ya mtoto wa Yule katibu mkuu kiongozi [mstaafu]. Hii issue imekaa kimashakamashaka.
Wapo wanaosema mlinzi ndo aliyefanya hicho kitendo na wengine wanasema ni kijana wa waziri Kapuya
Source: http://www.bongoyetu.com/component/...liwa-mwanawe-chupuchupu.html?directory=300126