Mtoto wa Muammar Gaddaf aitwaye Saif al Islam amewekwa chini ya ulinzi na askari waliomkata wa kusini mwa Libya akiwa na watu wawili waliokua wanamtorosha kumpeleka nchi jirani ya Niger.
Hakuna la maana linaloendelea Libya wao na utajiri wao wa mafuta wako hoi sana sasa hivi wanashangilia hata chura akipita kwa woga wa kupigwa risasi, Leo hii sisi ni bora na wastarabu kuliko wao mungu ibariki Tanzania:spy:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.