Mtoto wa Amin amfagilia Nyerere

huyu bwana tayari keshaandaliwa na watu wa west, wazungu wameshamchoka Mu7, kupitia kwa mwalimu ilikuwa ni kigezo tu lakini inawezekana keshakuwa na jeshi hapa tanzania linafanya mazoezi sidhani kama kutakuwa na tofauti na yale ya kabila, tusubiri tuone
Hamjambo ndugu zangu wa jamii forum
Yawezekana anauwania urais wa uganda ila naye uraia wake unautata kwani nafikili baba yake Amini alikuwa M Sudani na mama yake ni mnyarwanda ila yeye alizaliwa uganda sasa sijui sheria ya uganda kuhusu wagombea urais wanatakiwa kuwa na uraia wa namna gani
Hata hivyo usitegemee mazuri kwani mtoto wa nyoka ni nyoka
 
Back
Top Bottom