Mkuu hilo wala lisikusumbue hata mimi nilikuwa na tatizo kama hilo la kuwa na wasi wasi na mtoto lakin nikajiuliza mbona wazungu wana adopt watoto ambao siyo wao?jast take it easy endelea kumpa mtoto malezi mtoto akikua
akwiita tu baba kuwa baba wa mtoto ni malezi siyo kutia mimba.kuzaa siyo kazi kulea ndo kazi so kama umeweza kulea basi wewe ndo baba.
akwiita tu baba kuwa baba wa mtoto ni malezi siyo kutia mimba.kuzaa siyo kazi kulea ndo kazi so kama umeweza kulea basi wewe ndo baba.