Ndugu zangu niko sewa bar hapa buguruni. Kuna mtoto wa miaka 4 hivi yuko na mama yake. Mama huyo wanavutana na mwanaume akimtaka waende mahala. Nataarifu kumsikitikia mtoto, mnaohusika na ustawi wa jamii na watoto, nawapa taarifa.
Ushahidi pleaseNdugu zangu niko sewa bar hapa buguruni. Kuna mtoto wa miaka 4 hivi yuko na mama yake. Mama huyo wanavutana na mwanaume akimtaka waende mahala. Nataarifu kumsikitikia mtoto, mnaohusika na ustawi wa jamii na watoto, nawapa taarifa.
Stendi ya Sokoni buguruni ukivuka barabara kuna kituo cha polisi bugurunSewa Bar ipo Bugurini gani
Nasikia kuna mademu balaa.Na gesti ipo hapo hapo BaaStendi ya Sokoni buguruni ukivuka barabara kuna kituo cha polisi bugurun
HahahahaAmekwisha kua mkubwa sasa, karibu ya soko, hapo watu humaliziana msalani hata waume kwa waume.
Siku moja tembelea upate mrejesho kwa ulichosikiaNasikia kuna mademu balaa.Na gesti ipo hapo hapo Baa
Nenda hapo Buguruni Polisi fastaNdugu zangu niko sewa bar hapa buguruni. Kuna mtoto wa miaka 4 hivi yuko na mama yake. Mama huyo wanavutana na mwanaume akimtaka waende mahala. Nataarifu kumsikitikia mtoto, mnaohusika na ustawi wa jamii na watoto, nawapa taarifa.
Hivi bado wanauza nyapu palekuna nyuchi chafu chafu hapo kinoma
Acha kudata Mzee Buji hili ni kaburi la 2011 Huko unataka aende police Leo?Nenda hapo Buguruni Polisi fasta
Ni Buguruni sokoni.Ukifika Counter muulizie Mr BeniLengo la kufufua Uzi Ni kujua location ya Sewa
HahahaAcha kudata Mzee Buji hili ni kaburi la 2011 Huko unataka aende police Leo?
😂😂😂😂