Pure nomaa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 1,158
- 1,381
Mtoto mdogo wa miaka sita alikuwa amesimama nje ya nyumba yao akilia.gafla akatokea mpita njia mmoja akamuuliza
mpita njia>>we mtoto unalia nini?
Mtoto>>wazazi wangu wanapigana sana huko ndani
mpita njia>>baba yako ni nani
mtoto>>hicho ndio wanachopigania.mpita njia akaondoka bila kutoa msaada
mpita njia>>we mtoto unalia nini?
Mtoto>>wazazi wangu wanapigana sana huko ndani
mpita njia>>baba yako ni nani
mtoto>>hicho ndio wanachopigania.mpita njia akaondoka bila kutoa msaada