Mtoto Mwenye Akili Kuliko Wote duniani Aweka Rekodi

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,316
33,125
1892334.jpg

Mtoto Elise Tan Roberts Saturday, May 02, 2009 1:52 AM
Mtoto wa miaka miwili ambaye alianza kuzungumza alipokuwa na umri wa miezi nitano na kuanza kutembea akiwa na miezi minane ameweka rekodi kwa kuwa mwanachama mdogo kuliko wote kuingizwa kwenye jumuiya ya watu wenye akili na upeo usio wa kawaida ya MENSA Mtoto Elise Tan Roberts mwenye umri wa miaka miwili ambaye IQ yake imepishana kidogo na IQ ya mwanasayansi nguli wa fizikia Albert Einstein amekuwa ndio mwanachama mdogo kuliko wote kuingizwa kwenye jumuiya ya watu wenye akili sana zisizokuwa za kawaida inayoitwa MENSA.

Ili kuwa mwanachama katika jumuiya ya MENSA inabidi mtu ufaulu kwa asilimia 98 au zaidi katika mtihani maalumu wa IQ.

Elise alianza kuzungumza alipokuwa na umri wa miezi mitano na kuanza kutembea alipofikisha miezi nane na hivi sasa akiwa na umri wa miaka miwili ana uwezo wa kutaja miji mikuu 35 duniani, kutaja na kuzipanga alphabet na kutaja majina yote ya maumbile ya pembe tatu.

"Huongea vitu ambavyo hukuacha mdomo wazi ukifikiria amevitoa wapi" alisema mama yake Louise mwenye umri wa miaka 28.

"Anapenda kujifunza vitu na huvishika katika muda mfupi".alisema mama yake.

Mensa walithibitisha kwamba akiwa na umri wa siku 845 ( Miaka miwili na miezi minne) , Elise ndiye mwanachama mdogo kuliko wote wa Mensa, akimpiku Ben Woods, aliyeingizwa kwenye jumuiya ya Mensa alipokuwa na umri wa 1,035 mwaka 1990.

IQ ya Elise ni 156 wakati mwanasayansi mkongwe wa fizikia Albert Einstein maarufu kwa kanuni yake ya nishati ya
E = mc2
alikuwa na IQ ya 160.


nifahamishe.com
 
Last edited by a moderator:
huyu mtoto aliwashangaza wengi sana, ingekuwa huku kwetu waswahili wangesema ni uchawi, maana kuna kitoto kiliwahi kuzaliwa huku kikiongea lughakibao mama yake akatengwa na jamii.
 
Huyo miezi 5 anaogea huyu dar katoka anaulzia uji...
Sasa jamani si kalizaliwa kakiwa na njaa, wewe ulitaka asemeje?

Vipi na kale katoto kaliko zaliwa Russia!?
Newborn baby says, “Papa” claims Russian Doctor

May 10, 2009 by Baby Chums
Filed under: Off the Wall Baby News


baby_in_womb-300x200.jpg

Doctor Marina Panova claims a newborn baby boy has started talking in Russia, stunning the parents and the obstetricians.

The baby is reported to have pronounced his first word right after he was born, distinctly saying: “Papa!”, just a few minutes later following with, “Mama!”

The next day, when the boy’s mother was telling him that his dad was about to visit them at the hospital, he asked: “Who? Papa?”

The boy’s mother, Lisa Bazheyeva, is just 17 years old.

Doctor Marina Panova, who helped her in labor confirms the mother’s report.

“I heard with my own ears that the newborn baby spoke!

“Newborns just can’t pronounce syllables as complicated as that,

“The fetus can learn while still in the mother’s womb. If a mother talks to the fetus, entertains it as if it has been born already, the baby is usually born gifted,”

Pre-natal education is claimed as the catalyst for the babies ability to talk.

Source:Babychums
 
Back
Top Bottom