cherokee arifu....dah man natumia phone kwa sasa na niko downtown
Ngoja nikifika home nitachukua picha toka kwa laptop yangu ninazo then nitaziweka
Niambie wataka pcha ya nani kati ya hao wote sababu siwezi weka picha ya kila mtu
Kweli kazuri, Tatizo kafupi mno.
utaendelea kula kwa macho.....yaani na wewe haka ka jolly bebe nako unaona ka shori kakali??? aiseeee kweli majuu most ya mademu ni kama power mabula shauri ya kubeba box.....
haka ka shori ni kafupi sijapata ona......
kwanini mkuu??
Crapp first class!!!sasa hii ndio sura/ngozi yake halisi..nilichogundua ni kuwa walavumbi wote zile sio ngozi/rangi zao halisi. believe me or not