Swts
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,062
- 1,292
Habari dearest jf doctorz! Shost angu kipenz kajifungua jana mtoto wa kiume ila ilikuwa shughuli,mtoto mkubwa na njia ndogo! Na ujauzito wake ulikuwa miez kumi na kama wiki naa,iv!
Na ad sasa hatujaruhusiwa kumuona mtoto,kwan ameambiwa amepumzshwa kwan anashida katka upumuaji wake &amechoka pia.
Kwani,mtoto kavutwa na ile Mashine,Je kunamadhara yoyote itakayosababishwa na iyo njia?coz nlshawah kuckia rumors kuwa husababisha utahira kwa mtoto,je ni kweli?
Na ad sasa hatujaruhusiwa kumuona mtoto,kwan ameambiwa amepumzshwa kwan anashida katka upumuaji wake &amechoka pia.
Kwani,mtoto kavutwa na ile Mashine,Je kunamadhara yoyote itakayosababishwa na iyo njia?coz nlshawah kuckia rumors kuwa husababisha utahira kwa mtoto,je ni kweli?